Recent content by Black Butterfly

  1. Black Butterfly

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wazee Bumbuli: Tutamchukulia Fomu January Makamba kwa Fedha Zetu!

    Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) pamoja na wazee wa Jimbo la Bumbuli, Mkoani Tanga, wameibuka na ahadi ya kumchukulia fomu ya kugombea ubunge kwa Mbunge wao wa sasa, January Makamba kwa kutumia fedha zao binafsi kama ishara ya kutambua mchango wake mkubwa katika maendeleo ya jimbo hilo kwa...
  2. Black Butterfly

    JamiiForums Tanzania Nini kipo nyuma ya Mzungu John Robert Maitland, alifungwa Tanzania miezi 6 lakini bado yuko Gerezani Segerea zaidi ya miaka 10?

    JOHN ROBERT MAITLAND DHIDI YA JAMHURI Mshtakiwa alishtakiwa kwa kosa la kuingia na kuwepo kinyume cha sheria ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mahakama ya Wilaya Bukoba, Kavera. Alikutwa na hatia na kuhukumiwa kulipa faini ya Shilingi 80,000 za Kitanzania au kifungo cha miaka...
  3. Black Butterfly

    JamiiForums Tanzania Majibu ya vipimo Electrocardiogram (ECG)

    Kwa majibu yanavyoonesha ni kama una shida kwenye blood circulation lakini picha pia inaonekana haileweki vizuri. Nakushauri ufanye CT Scan kuangalia blood flow yako kama iko sawa. Kama uko Dar nenda JKCI
  4. Black Butterfly

    JamiiForums Tanzania KERO Ofisi ya TRA Mafinga ina huduma mbovu, wahudumu wana dharau wateja

    Nimefika kufanyiwa makadirio ya kodi katika Ofisi za TRA Tanzania Mafinga lakini tangu asubuhi wahudumu wanajizungusha tu mara huku mara kule, mara mtandao uko chini mara wahudumu wengine wako kuhudumia nje ya ofisi hivyo tuendelee kusubiri. Hii hali ni kero sana nimeuliza wateja wengine hapa...
  5. Black Butterfly

    JamiiForums Tanzania Usithubutu kamwe kuandikisha hati ya nyumba, gari au kiwanja kwenye majina ya mke wako it will end in tears

    Hawa wake mnaoaga kutoka wapi kwani hadi wanaachia tears?
  6. Black Butterfly

    JamiiForums Tanzania META yapigwa faini ya Tsh. Bilioni 273 baada ya Password za Watumiaji Milioni 600 wa Facebook kuonwa na Wafanyakazi wa ndani

    Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi ya Ireland (DPC) imeipiga faini ya takriban Tsh. Bilioni 273 kampuni ya META baada ya kubainika 'Passwords' za Watumiaji wa Facebook milioni 600 wa Facebook zilivujishwa kwa Wafanyakazi wa ndani. Kwa mujibu wa taarifa, META haikutekeleza hatua madhubuti za...
  7. Black Butterfly

    JamiiForums Tanzania Septemba 29, 2024: Siku ya Moyo Duniani, Wanaopoteza maisha kila mwaka kwa Magonjwa ya Moyo wafikia Milioni 18.6

    Siku ya Moyo Duniani huadhimishwa Septemba 29 kila mwaka tangu ilipoanzishwa na Shirikisho la Moyo Duniani (WHF) kwa ushirikiano na Shirika la Afya Duniani (WHO) mwaka 1999. - Siku hii hulenga kuongeza uelewa kwa Watu kushirikia katika kuzuia, kupima afya mara kwa mara na kubadili mtindo wa...
  8. Black Butterfly

    JamiiForums Tanzania Michael Crifford alikuwa Jasusi wa Beberu?

    Tigo ni International Business Entity inashtakiwa popote pale
  9. Black Butterfly

    JamiiForums Tanzania Mhasibu, Afisa TEHAMA wa Kanisa la SDA wapandishwa kizimbani kwa Wizi wa Tsh. Milioni 717

    Watu watatu wakiwemo Mhasibu na Ofisa Tehama wa Kanisa la Waadventista Wasabato Tanzania (SDA), wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka manane, likiwamo la kutakatisha fedha na wizi wa Sh717 milioni mali ya kanisa hilo. Washitakiwa hao ni ofisa Tehema...
  10. Black Butterfly

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Aliyeongoza Kikosi cha wauaji walioagizwa kuniua ni Paul Makonda, ndio maana Marekani ilimzuia

    "Shambulio dhidi yangu (shambulio la Tundu Lissu kupigwa risasi) limetokea katikati ya majengo ya serikali wanayokaa Mawaziri, Naibu Spika Tulika akson kwa wakati ule (sasa ni Spika wa Bunge), Waziri Harrison Mwakyembe (aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo), Waziri wa Nishati wa...
  11. Black Butterfly

    JamiiForums Tanzania Ruto asema uwepo wa Starlink nchini Kenya umefanya Mitandao ya Simu iboreshe huduma za Intaneti

    Rais William Ruto, amesema amekuwa akipokea malalamiko kutoka kwa Watoa Huduma za Simu nchini humo tangu Serikali iliporuhusu uwekezaji wa kampuni ya #Starlink inayotoa huduma za Intaneti kwa njia ya Setilaiti. Kwa mujibu wa Mtandao wa Citizen Digital, Septemba 23, 2024, imeelezwa kuwa...
  12. Black Butterfly

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa ni ngumu sana, asikudanganye mtu

    Wewe bwana umejichanganya kuoa kambale unataka kila mtu aone ndoa mbaya! Pambana na hali yako wengine tunakula maisha na ndoa zetu miaka na miaka hakuna shida
  13. Black Butterfly

    JamiiForums Tanzania Polisi wazingira ofisi ya za CHADEMA, Muliro adai wanaimarisha ulinzi wasijesema wametekwa

    Siku moja baada ya Jeshi la Polisi kuzima maandamano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) yaliyopangwa kufanyika jijini Dar es Salaam Septemba 23, 2024, baadhi ya askari wameonekana wakizingira ofisi ya makao makuu ya chama hicho Mikocheni. Mwandishi wa Mwananchi aliyefika katika...
  14. Black Butterfly

    JamiiForums Tanzania Tanga: Watu watatu wafariki dunia kwa kuchomwa moto ndani ya gari Handeni

    Watu watatu wamekutwa wamefariki dunia kwa kuchomwa moto na watu wasiojulikana eneo la msitu wa Hifadhi ya Korogwe Fuel, uliopo Kijiji cha Sindeni wilayani Handeni mkoani Tanga. Akizungumza na waandishi wa habari leo Septemba 24, 2024 kuhusu tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Almachius...
  15. Black Butterfly

    JamiiForums Tanzania Dar: Watano wafikishwa Mahakamani kwa kujifanya Mawakala na kuiba Tsh. Milioni 3.6 kwenye Simu

    WATU watano wamepandishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni wakikabiliwa na mashtaka 23 likiwemo la kuongoza genge la uhalifu na wizi wa fedha kiasi cha Sh 3,600,000. Washtakiwa katika kesi hiyo ni Wangina Chacha(21), Erick Mushi(28), Shabani Msuya(36), Baraka Lunanja (32) na Kassim...
Back
Top Bottom