Recent content by black albino

  1. B

    Dr. Mkumbo aula UDSM

    yap! kamanda anatoka jimbo la mwigulu.
  2. B

    Sioi Sumari achaguliwa na CCM kumrithi baba yake Arumeru Mashariki!

    Mkuu watakuwa wamebadilisha utaratibu wa kuchagua mgombea, ambapo kwa sasa watakuwa wamepiga kura wajumbe wa siasa wa wilaya wakati 2010 walipiga kura wanaccm wote waliokuwa na Kadi.
  3. B

    CHADEMA na mikakati ya kujiimarisha kanda ya Pwani na Zanzibar

    nadhani kuna haja ya viongoz wote wa chadema kuanzia ngazi ya kata hadi mkoa waanze kazi ya kukitangaza chama maeneo walipo kuliko kusubiri viongoz wa kitaifa waje ndo nao wajiunge kwenye msafara. Mi nakumbuka wakati viongozi walipokuja mbeya last year,Dr. slaa alipoenda Chunya aliwauliza...
Back
Top Bottom