Pole sana! Wanawake wengi ndivyo walivyo, ni walemavu kwa hiyo ulioa mlemavu, hivyo unatakiwa kuiishi hali hiyo mpaka kifo, huo ni ulemavu sawa tu na mtu akiwa taahira au kiwete huwezi kusema huyu ni kiwete sasa namwacha; jitahidi kujifanyia mambo yako muhimu maadam humbebi mgongoni muda mwingi...
Mbona wnafanya makusudi unadhani ukiwaambia wajirekebishe watakuelewa; acha kupoteza wakati wako mwanaume ni hela tu na mwanamke ni uzuri tu, haya siyo yangu ni tafiti zinaonesha hivyo i.e wealth and man's generosity attracts women! zinduka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.