Jaman pia mimi niliajiliwa baadae nikaomba ruhusa naenda kusoma mambo ya elimu lakini baadae nikabadili si kwenda huko kwenye kitu nilichoombea ruhusa nikaenda kusoma sheria sasa nimeomba kazi sehemu nyingine tofauti. Ila naambiwa suala la mshahara litakuwa kero najiuliza nimepoteza mda wangu...
hapo bado una kazi kaka kuna mtu ana miaka miwili hajapata mshahara kutokana na tatizo kama lako member aliyedai kubadili initial toa mfano na jinsi ya kubadili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.