Jamani hata Ulaya hari ni ngumu. Washikiriwa bango na wanachi wao. Kukata misaada inasemwa sana huku. Kwahiyo siyo ajabu ukisikiya nchi nyingi zinjitowa.
Dunia imebadilika inabidi tubuni mbinu za kujisaidiya wenyewe.
" They need us as we need them".
Mkuu kabla ujaandika ujuwe jinsi machimbo yanavyo fan ya kazi. Unaitaji tone 3.3 za ore kapata ounce moja ya dhahabu. Kwa bei ya us$800 per ounce Unaitaji tone nyingi ku breake even. Je kuna ukweli katikati taarifa yako. Na bado hapo dhahabu uliyoipata siyo pure.
Michoro nimechora mwenyewe. Nilikuwa nampa mfano. Bahati mbaya ni mtindo ya ulaya, kusudi ya kuweka sebule nyuma ni kuweza kuaona garden. Kwenye Kitchen yard kuna ukuta.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.