Wakuu salaam zenu,
Nimebarikiwa sana kutokana michango yenu ya mawazo kuhusu suala hili ambalo karibu wote mlishauri nimuoe mdogo wa mke wangu. Nilipata matatizo ya kumpoteza mwenzangu miaka minne iliyopita, nimeachwa na watoto wadogo wanaohitaji uangalizi wa karibu, yupo mdogo wa mke wangu...
Wakuu,
Bado sijapona rohoni vizuri kwa kuondokewa na mke wangu miaka minne iliyopita kwa ajali mbaya ya Gari. Kwa kweli kama si wife sina hakika kama ningekua nimefika hapa nilipo, hadi anaondoka tuna nyumba nne maeneo tofauti ambazo tumekua tukikusanya kodi ya 15 million annually kwa nyumba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.