Recent content by bize signal

  1. B

    Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

    mwamba amekufa akitetea maadili ya taasisi ya ndoa yaheshimiwe!! nasema ndoa iheshimiwe na wote na maadili yafuatwe.
  2. B

    Matendo yanayopelekea mashoga kupatikana katika familia

    kwanza kabisa naomba mtambue ushoga sio hali ya hisia kimaumbile. kiroho hizi ni ROHO au mapepo yanayoshughulika na hisia za watu. Ndio maana waathirika hawa wanaweza sema ni maumbile YAO ya kuzaliwa, au hisia ni vile hawajui elimu ya kiroho na majeshi ya ulimwengu wa kiroho wa SHETANI...
  3. B

    Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

    nina ushuhuda wa mashoga wanne waliombewa na Nabii na pepo zikawatoka. na waliacha jumla. ni pepo aliemtulivu anaeongoza hisia tu. so you need to see a powerfull man of God. sio tu man of God.
  4. B

    Wakristo wenye wadada wa kazi wa Kiisilamu acheni kuwanyanyasa kwasababu ya kufunga Ramadhani

    kwa MIAKA 15 ya kuishi na wafanyakazi 6, watano ni waislamu. wote walikuwa na majini. wengine watatu waliniambia walitibiwa na kusomewa yakaondoka. usiku baada ya chakula mimi na mke na watoto hisali pamoja. wao huwa chumbani. cha ajabu tukiwa katika maombi hulipukwa majini. mimi huwaombea na...
  5. B

    KIFO NA NDOA: Naomba nichukue nafasi hii kuisifu misingi ya dini ya Kiislamu

    kwanza kabisa acha kupotosha wewe jamaa, misingi ya dini ya kikristo sio harusi!! bari ni kristo yesu ndio msingi wa dini. kutaja ndoa na harusi sio misingi.
  6. B

    Hospitali ya Taifa Muhimbili kutoisimamia tena Mloganzila, sasa Mloganzila kujiendesha yenyewe kuanzia Julai 2022

    hospital ambayo hiwezi sikia mbungu,waziri,au mkuu wa wilaya yuko hapo kalazwa binafsi inasumbua ubongo.
  7. B

    Wazazi wakataa sadaka ya kuchinja iliyotolewa na Waarabu, wakidai watoto wao watatolewa kafara

    waarabu na majini , imani ngumu hii mara mtupe mawe ! ngumu kumeza.
  8. B

    Rais Samia aipongeza ATCL kwa kuchanja mbuga, Kenya sasa ni Tshs 770,000 tu

    hili shirika bado sana. kama kupanga bei tu ni kama hawalielewi soko. bei ya dubai na nairobi sawa
  9. B

    Tegeta hakuna umeme wala maji, angalau mngetuachia kimojawapo na hili joto la Dar!

    hii inaotwa panga uzazi ya jijini dar. umeme hakuna maji hakuna.mimi nalala chini kwenye tailiz mama kitandani.[emoji23][emoji23][emoji23]
  10. B

    Nini dawa ya mwanamke anayekutukana mara kwa mara?

    mimi nilimwambia kiungo kinachowakilisha tusi nitakiadhibu hakujali. nikamgonjea ameshasahau. yani alinitukana asubui wikendi nikiwa nyumbani, nikampotezea na nikatoka nae lunch akajisahau pia .akajua imetoka. jioni tukiwa mezani aliposema tuombe kwa chakula, alipofumba macho na kuanza kuomba...
  11. B

    Nafikiria kuanzisha kampuni binafsi ya upelelezi, je hii inawezekana kwa hapa Tanzania?

    kwa KATIBA hii, utanyimwa ushirikiano na hawa jamaa. mara utakataliwa na hakimu ili mladi tu wao ndio wanaohusika. kwani ujifunzi wanavyukiuka KATIBA kwa MIKUTANO ya VYAMA vya upinzani?
  12. B

    Ni dhahiri njia inayofuata kupendekezwa na wataalamu wa afya ni lockdown nchi nzima

    kwa nchi mbalimbali lockdown ya kwanza ilitumika kufungia watu ndani ili kutoa nafasi kwa wafungaji wa mitambo ya 5G ya internet. ukizingatia ndio inayodaiwa kuwa chanzo cha gonjwa hili. Utakuja kuona tz itaingia tatizo hili in deep mara tu baada ya kuistal au ku up-grade 5G internet. nchi...
  13. B

    Serikali iruhusu uwekezaji wa kibiashara katika Magereza ili wafungwa wanaoweza kugharamia walipie na kutumikia vifungo vyao

    kimsingi watu masikini hawawezi kulipia huduma za jela private, so kubambikiwa sio inshu nzito ikiwa tu mifumo itawekewa uwazi na sheria za kudhibiti ikiwa ni pamoja na adhabu kwa wabambikaji,police husika na hakimu.
  14. B

    Serikali iruhusu uwekezaji wa kibiashara katika Magereza ili wafungwa wanaoweza kugharamia walipie na kutumikia vifungo vyao

    kubambikiwa kesi ni mjadala unaoweza kujitegemea tofauti!. na wakibambikiwa wote wanaishia gereza hizihizi. swala ni kubadili hali ilivyo katika gereza zetu.
Back
Top Bottom