Ivi kwnn askar wasigome kama walivyofanya wa south africa mpka serikali ikasurrender na kuwapa wanachokitaka!!! Askar wana2mika kuwalinda wakubwa 2 af wenyewe wakibak na maisha dunii,, polen cna
Excellent mtoa mada, binafsi nina kaka yangu ambaye alipata iyo div-0 lakin alikuwa na uwezo na kipaji kikubwa kwenye uchoraji.. Alipelekwa chuo cha sanaa ya uchoraji na kufanya vizuri cna kwa sasa anakampuni ya uchoraji yenye mafanikio sana akiwapita kwa mbali sana kiuchumi na kiufanisi wa...
2sidandie tren kwa mbele,, subirin uchunguz wa kipelelezi upite hapo,,, waweza kuta ni vita ya kimaslah kati ya dheheb moja dhidi ya lingine ndan yenu wenyew wakristo...waislm wanatajwa kam gelesha 2 il kuwapotza uelekeo.... TAFAKaRI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.