Recent content by bitimkongwe

  1. B

    Jipatie Unlimited bando kutoka Vodacom, kuanzia elfu 70,000/= tu.

    Wengi tuko category hii ya juu (binafsi). Sasa cha bure kiko wapi hapo wakati unalipia 240,000/- na halafu 120,000/- kwa mwezi?
  2. B

    Nifanye nini? Ndoa ina miezi 10, mke wangu kabadili dini kaolewa na mwanaume mwingine

    sometimes inawezekana kunakuwa na spot bleeding, kwa hivyo usimlaumu bure
  3. B

    Mimi ni mwanaume ninayeonewa na mke wangu, Dkt. Gwajma nisaidie

    wacheni utani kwa kitu serious kama msongo wa mawazo. ingekuwa ni ndugu yako ungesema hivyo?
  4. B

    Mimi ni mwanaume ninayeonewa na mke wangu, Dkt. Gwajma nisaidie

    Usijidanganye yalikuwepo tangu zamani lakini yalikuwa yanafichwa.
  5. B

    Hoja ya Polepole kumtumia Rais Museveni kama mfano ni mfu

    Ni kweli kabisa, na hasa naona sasa ameishiwa na issues ndiyo analazimisha kuziunga unga na kushambulia watu binafsi. Huyo Museveni mwenyewe mke wake ni Minister, mtoto wake ni mkuu wa jeshi na yule ndugu yake ana cheo fulani hivi serikalini, halafu amseme Samia! - viongozi wa Afrika (na hata...
  6. B

    Kauli ya diamond na ommy kama mashaikh,basata,TCRA,JESHI LA POLISI, wasipojitokeza kumuonya basi ndo haya haya wanayoendeleza kubariki huu utawala

    hebu andika basi hayo aliyosema na w ewe ukayatafsiri kama matusi. Siyo sote huwa tunaangalia hao wasanii
  7. B

    Mlinzi wa Rais Samia aanguka ghafla wakati wa kampeni Mbalizi, Mbeya

    kawaida ya kuanguka inakuwa kivipi? mbona munakuza mambo bila ya sababu? Binadamu yo yote anaweza kuanguka kutokana na machofu, maradhi au matukio mengine.
  8. B

    Mlinzi wa Rais Samia aanguka ghafla wakati wa kampeni Mbalizi, Mbeya

    kwa kweli unapaswa kuwa na adabu hata kama siyo mama yako basi ni kiongozi wako whether you like it or not.
  9. B

    Hii ndio sababu kwanini wazazi wanaosomesha Private schools wanachukia Division 1 za Kayumba Schools

    Mwenyezi Mungu amegawa akili bila ya kutazama asili ya ukoo. Ndiyo mana unakuta kuna hata watoto wa wafalme lakini hawana akili licha ya kuwa na facilities na upendeleo wa kifedha. Kwa hivyo mimi naona hiyo ni dhana tu ya kujipa moyo watoto wa kimaskini, nani amewaona hao wazazi wa private...
  10. B

    Mazungumzo ya Ndg. Polepole leo 31 Agosti 2025 na umma

    Tumuombe Mungu atuvushe salama kwenye hili
  11. B

    Kwanini kusiwe na sheria ya mtu kuchagua dini/dhehebu akifikisha miaka 18?

    hapana sina uelewa lakini nimewahi kuwa na marafiki wazungu walikuwa Bahai
  12. B

    Je, ni kweli gesi ya kupikia nchini Cuba inauzwa TZS 2,000? – Uchambuzi wa kitaalamu

    loh mshamba gani wewe? unajua kizungu cha kufanyia search kwenye chatgpt? Unajua tafauti baina ya search na research? Mimi nimesema search sijasema research, haya ni maneno mawili tafauti. Jamani jifunzeni kiingereza musiaibike angalau kwa maneno madogo madogo.
Back
Top Bottom