Kama wakimgomea basi baba ajiajiri while anasoma open maana elimu yetu kwa sasa masharti yake yameaffect vijana wengi aswa walosoma nje its a deserster nyingine iyoo.
Watanzania tumekuwa matapeli kwa kweli uyu binti alipewa ahadi ya New IST sasa gari sijui nani kauchomoa kwake kuficha aibu ya ahadi .kwa kweli ulosema ni wakati wa zoa zoa sasa Edward umekuwa zoa zoa .uwiiiiiiii tuwe na heshima kidogo binti kajitoa sana mmmmmm hashimu hapo kachemka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.