Unaomba passport mtandaoni na una upload documents muhimu mtandaoni, una download copy ya application yako ndo unaenda nayo uhamiaji baada ya kulipia 150k kwa control namba na kuprinti kopi yanaipeleka immigration, utafanyiwa interview na kupigwa picha na kuchukuliwa alama za vidole. Baada ya...
Ili mtu atengeneze hofu, utii na uoga kwa subordinates wake lazima afanye mwenyew kitendo Cha kikatili ili akitoa maagizo watekeleze bila kuhoji. Mm nakuelewa
Wasikuzingue na hizo brand names, electronics hazitabiliki, mm Nina Star X nliwafungia watoto wañgu wanatumia karibia masaa 24 Kila cku wakiwepo huu ni mwaka wa 10 na haijapata itilafu na kama mpya na picha HD, wanaangalia TV, Wana connect PS na Iko vzuri, wenzangu walionunua hizo brand cjui...
Kwenye Torah Mungu Hana mpinzani yaani Mungu Yuko peke yake hakuna huyo shetani, dini zlitengeneza shetani ili kupata wa kuangushia lawama. Utaniuliza Sasa nani analeta na kusababisha mambo mabaya. Nenda ukasome biblia Isaiah 45:7 . Naomba kuwasilisha,
Glory be to God the Creator of the universe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.