Recent content by Bishengoma

  1. B

    Majibu kwa Ontario kuhusu kuitwa tapeli wa Biashara ya Forex kupitia TMT

    Nikajuwa angalau utakuwa na wajihi wa Amba something kumbe nimepelekwa Chaka kabisa!!!
  2. B

    Majibu kwa Ontario kuhusu kuitwa tapeli wa Biashara ya Forex kupitia TMT

    Hii Jf kweli imejaa Mbuzi wa Kijani? Yani hii Mipicha yenu yote kumbe ni Fekelo???
  3. B

    PANAMA: Balozi wa Marekani nchini Panama ajiuzulu asema hawezi kumtumikia Trump

    Waafrika wenyewe tumetukanwa na bado tunakenua Meno tu..,
  4. B

    Nabii Askofu Mwingira agoma Kupima DNA, ni katika kesi ya kuzaa na mke wa mtu

    Mkuu mwanzo taarifa ilikuwa haijajitosheleza!
  5. B

    Nabii Askofu Mwingira agoma Kupima DNA, ni katika kesi ya kuzaa na mke wa mtu

    ni kweli Mkuu ila ikitokea Mwingira akishinda Kesi nadhani Dk ndo ataumia sana mana umechapiwa na Bado Mgoni wako amesafishwa!
  6. B

    Nabii Askofu Mwingira agoma Kupima DNA, ni katika kesi ya kuzaa na mke wa mtu

    Ila Mungu anamakusudi yake yani Mtoto wa Kuchepuka utafikiri ni Document uliyoiscan ukaiprint huwaga hana haja ya DNA!
  7. B

    Nabii Askofu Mwingira agoma Kupima DNA, ni katika kesi ya kuzaa na mke wa mtu

    Mkuu itakuwa hiii fursa ya kupiga pesa ndo imemtoa ufahamu!
  8. B

    Nabii Askofu Mwingira agoma Kupima DNA, ni katika kesi ya kuzaa na mke wa mtu

    Duuu.., kumbe Mzee ameichungulia fursa? Hiyo kweli inaitwa baada ya hapo tusijuane.
  9. B

    Kumbe huyu mama kamuharibu Chibu

    Mama ni zaidi ya kuzaa na kuitwa Bibi, Matendo na maadili yake hayampi nguvu ya heshima ya Mama!
  10. B

    Maneno ya Dogo Janja kuhusu picha za uchi za Irene Uwoya

    "Uchi" siku hizi umekuwa Overrated sana..
  11. B

    Dr. Mwakyembe: Kanumba ni staa, nilifikiri kaacha mali za ajabu

    Mfumo Mzima wa Sanaa umejaa unyonyaji kwa maana Soko la Sanaa limeshikiliwa na watu wachache wenye ukiritimba na yanahitajika maboresho makubwa ili kumaliza tatizo!
  12. B

    Nabii Askofu Mwingira agoma Kupima DNA, ni katika kesi ya kuzaa na mke wa mtu

    huyo Jamaa nae aliechapiwa sijui anamatatizo gani? Kwanini asimalizane na Mkewe kila Mja ajuwe ustarabu wake kuliko uamuzi wa kufungua kesi ambayo ndio unaitangazia Dunia kuwa umechapiwa?
  13. B

    Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

    Sigle Mother bado hajatekeleza majukumu yake kikamilifu, haiwezekani aende huko, ale halafu aje aseme kwako kila alilofanyiwa huko ha a ha a a!
  14. B

    Chakula hufungua moyo

    Raha ya Chakula kiwe na radha kinyume na hapo ni kujaza tumbo
Back
Top Bottom