Recent content by BioPsychologist

  1. BioPsychologist

    Ulipataje kazi yako

    Binafsi nina uzoefu wa kazi ya unasihi (Psychotherapy/Counseling) kwa miaka minne, miaka 2 baada ya chuo nilipata kazi kupitia kujitolea zahanati moja hivi, nafasi zilitoka za shirika fulani hivi nika apply nikapata kazi ya mkataba wa miaka 2, ilivooisha hiyo nikaiingia mtaani, nachojikubali ni...
  2. BioPsychologist

    Ukiona mpenzi wako ana wivu kupitiliza jiulize

    Specific to General [emoji777] General to Specific [emoji3514]
  3. BioPsychologist

    Wanaume kwa wanawake njoeni tusaidiane hapa

    Wewe umri wako ni mkubwa kuliko akili. Ukipimwa akili yako unaweza kuta ina umri wa miaka 14 wakati mwili wako una miaka 26
  4. BioPsychologist

    Najitokeza natafuta kazi ya unasihi/ushauri nasaha kisaikolojia

    Mkuu hii ni kweli? Nifungue kanisa siyo, aisee nina imagine hata sioni pa kuanzia japo kuhusu bible sio mgeni sana nafahamu kiasi maana nimekulia kwenye ukristo ila sio wito wangu kabisa.
  5. BioPsychologist

    Natafuta Personal Driver

    Nipo hapa kama bado hujapata driver! Ni mzoefu, mwaminifu, na msiri (confidentiality).
  6. BioPsychologist

    Najitokeza natafuta kazi ya unasihi/ushauri nasaha kisaikolojia

    Link hapa hawakubali mkuu. Nakuja PM nikupe jina. Naomba ususahau KU-SUBSCRIBE
  7. BioPsychologist

    Najitokeza natafuta kazi ya unasihi/ushauri nasaha kisaikolojia

    Lakini mbona kuna mashirika mengi tu sema.kujuana kwingi mkuu.
  8. BioPsychologist

    Haya ndio makabila magumu kwenye ndoa (based on maoni ya wadau)

    Anae fahamu wapare wanawake na tabia zao naomba anijuze, nachofahamu mimi ni ujeuri,uchoyo, ubabe na hawako romantic pia wanapenda sana pesa. Ni mabahili lakini huoni maendeleo ya maana kama ubahili unavyotafsirika kuwa na faida. NAOMBA TABIA NYINGINE
  9. BioPsychologist

    Haya ndio makabila magumu kwenye ndoa (based on maoni ya wadau)

    Aisee hawa watu nahitaji sana kujifunza maisha yao!
  10. BioPsychologist

    Haya ndio makabila magumu kwenye ndoa (based on maoni ya wadau)

    Hii ni kweli mkuu? Nachojuwa wao sio romantic macho kwenye hela ukikaa vibaya. Ama?
  11. BioPsychologist

    Ni kwanini mwanaume ukistaafu kazini thamani yako inaisha mbele ya mkeo

    KATAA NDOA Hii inazidi kushika kqsi,yaani uzeeke.badala ya kuishi kwa.amani unaishi kwa tabu?
  12. BioPsychologist

    Haya ndio makabila magumu kwenye ndoa (based on maoni ya wadau)

    Hao namba 2 nina ushuhuda wanawake watatu kwenye ndoa zao shida zinafanana.
  13. BioPsychologist

    Wanawake hawapendi ndoa

    Hii ndiyo gear sasa hivi. Wanawake wengi wanataka watoto kuliko kukaa na mme ndani. Halafu wanaamini akiwa na vihela baaasi anakuwa ameziba nafasi ya mwanaume. Lakini akiwa nje ya ndoa hawana furaha kabisa. Huo ndiyo ukweli na hawana tahadhari ya kulinda mahusiano yao!
Back
Top Bottom