Poa inshu kubwa na ninachotaka kufahamu na msome kwa umakini sana hiyo paragraph ya pili kutoka mwisho .hapa sio inshu ya uvumilivu au nn tatiz lipo hapo
Mm ni msichana mw umri wa miaka 24 ni miongoni waliojaaliWaa kuolewa ndoa za mapema maana nilifunga ndoa na mume wangu nikiwa na miaka 20:mpaka sasa nimedumu kwa takriban miaka minne.
Nisiwachoshe sana niende moja kwa moja kilichonifanya nifungue huu uzi.mm na mume wangu kwa miaka hiyo minne...
Kweli akirudia na leo nitafanya hivyo kama mbwai na iwe mbwai.afe kipa afe beki leo siwezi kukesha tena kwa ujinga wa mtu mmoja nitaleta mrejesho kitakachoendelea
NB.mkiniona kimya sijaleta mrejesho mjue nishapelekwa kusikojulika na mtu asiyejulikana kama nilivyosema huyu ni mgeni ndio kwanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.