Kuna wakati niliomba kazi mahala kupitia zoom baada ya siku moja nikapigiwa simu na njemba ananiambia yeye ni mmoja kati ya watu wanao warectuit waombaji so nitume pesa ili jina langu lipitishe ili nipate kazi na akataja mshahara ni 1.2m kwa mwezi lkn natakiwa nitume 50000 kwake..yeye atatoa...
Yalitokea ila mie ni mtu aliniunganisha...
Baada ya kupigiwa nikaambiwa kwa vile nimechelewa nitume pesa kwa ajili ya uniform,eti training mpk uwe na uniform ila cha kushangaza sikuambiwa kazi gani nitafanya...
Nikawaambia watafute mtu mwingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.