Recent content by Binomial

  1. B

    Uhusiano wa Tanzania na Kenya mashakani baada ya Kenya kutaka kupiga mnada ng'ombe zaidi ya 4,000 kutoka Tanzania

    Jamii za mipakani zimekuwa zikiingiliana hata kwa tamaduni zake hizi ni jamii zenye asili moja lakini zimetenganishwa kwa mipaka ya ardhi tu. Serikali ilipaswa kushirikisha jamii zote kabla ya kuchukua hatua..
  2. B

    Uhusiano wa Tanzania na Kenya mashakani baada ya Kenya kutaka kupiga mnada ng'ombe zaidi ya 4,000 kutoka Tanzania

    Maisha ya East Africa Community yapo mashakani. Kwa taswira pana Kenya ndiye kinara wa uchumi ikifuatiwa na Tanzania hivyo mahusiano mabovu ya kidiplomasia kati ya wanachama wawili wenye nguvu kwenye jumuiya ni wazi yanahatarisha uhai wa jumuiya.
  3. B

    Izack Emil afikishwa mahakamani kwa tuhuma za kumtukana Rais Magufuli Facebook

    Actually katika hati ya mashtaka sijaona mtuhumiwa alipomtaja raisi kwa jina wala cheo ila ninachoona jina la raisi limetajwa kwenye maelezo ya mfungua mashtaka.
  4. B

    Izack Emil afikishwa mahakamani kwa tuhuma za kumtukana Rais Magufuli Facebook

    Polisi ambao wanakataakupeleka mkataba wa Lugumi hawana moral authority ya kumkamata mtu mwingine.
  5. B

    CCM na sura ya utawala kikoloni

    Wakoloni waafrika ni hatari zaidi ya wakoloni weupe. Martin Luther Jr. alishawahi kuzungumza juu ya wazungu kuiita Afrika, The dark continent. Juzi juzi Donald Trump amezungumza juu ya watawala wengi wa kiafrika kuuibia umma kisha kwenda kuwekeza mataifa ya magharibi. Ujinga ulioje! Wakati...
  6. B

    Shule binafsi zapigwa marufuku kupandisha ada

    Mathematically 100 wanafunzi wa kutwa watakusanya shiling mil 15 kwa mwaka ukigawanya kwa miezi 12 unapata mil 1.25. Hivyo shule itapaswa kujiendesha kwa milioni 1.25 kwa mwezi kuanzia mishahara, stationery na matumizi mengineyo. This is a joke!!!!! Ushauri: Serikali isihangaike kutoa ada...
  7. B

    Sakata la Makontena: Mwigulu, Saada Mkuya, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha wanatakiwa wawe ndani

    Pasts predict the future na ni lazima ujisahihishe ulipokosea Jana ili mafanikio kesho
  8. B

    Naomba kufahamu Kazi ya Upinzani kwenye Serikali hii ya Magufuli

    A fool will never see the gaps but brave one will
  9. B

    Wabunge wa UKAWA ni wendawazimu?

    Wakati wa ukoloni watu waliokuwa wakipigana dhidi ukandamizaji wa haki za mtu mweusi na utawala wa kimabavu walinyanyasika, wakadhalilishwa na polisi wa kikoloni na waandishi wa kikoloni, wakaitwa majina kama haya tunayoyasikia leo wendawazimu, watoto, wahuni, wapumbavu na majina yoyote mabaya...
  10. B

    Kwa hili tukio la leo, ITV wasiachwe hivi hivi, wachukuliwe hatua za kisheria

    Kwanza nawapongeza ITV wamefanya kazi nzuri kipindi chote cha uchaguzi day and night they were working very hard to assure the public is informed, hongera ITV. Kabla haujaleta hiyo claim yako nataka kwanza tuanze na TBC wanaotumia pesa zetu lakini kazi wanayofanya it is shame. Hawa wanalipwa kwa...
  11. B

    Mbowe, Jipime kwa mustakabali wa CHADEMA, Kinusuru Chama

    Wewe ni mtumwa mwingine wa CCM. Chadema hakuna kitu kinachoitwa Chadema asilia ndaninia haijalishi umejiunga lini unaheshimiwa na kuthaminiwa kwa kuwa umeamua kupigania majority. Lengo LA chama ni kuongoza mapambano kukomboa nchi dhidi ya umasikini. Twambie wakati chadema ikiendesha harakati...
  12. B

    UKAWA: Hesabu za kura hizi hapa - Usisubiri mpaka 25 Oktoba 2015

    Eeeh Tanzania taifa langu mbona unaangamia? Rudi kwanza primary wakakufundishe kucalculate percentages maana ulichoandika hapo ni madudu tu. Wanachama 1.6 mil wa CUF hawawezi kuwa asilimia 0.7 ya wapigakura 24mil na hao WALIOBAKI 1.6mil hawawezi kuwa 0.08 percentage. Ama kweli Lumumba kuna...
  13. B

    Rais Kikwete ateua Wakuu wa Wilaya 13 wapya, ahamisha wengine 7

    Oooh my God! My sweet home ni nini hiki? Mtu anahamishwa last 20 days huyu atalipwa garama za uhamisho kipindi watanzania wengine wanateseka na umasikini.....
  14. B

    Ikiwa Wameondoka hawa CHADEMA, wewe nani mpaka Mbowe akuone wa maana?

    CHADEMA iliwapa popularity Kabouru, Zitto, Arfi,Slaa na wengine wengine wengi watabaki chama kitabaki imara kwasababu misingi ya CHADEMA ni wananchi.
Back
Top Bottom