Ikiwa Wameondoka hawa CHADEMA, wewe nani mpaka Mbowe akuone wa maana?

Kumbe ndio maana unaitwa 'chilisosi' - maanake unawasha lakini wenzako bado wanakula!!! Umeshindwa kuelewa ya kwa kwamba CCM ina list ndefu kama bara bara ya kukimbiwa na viongozi wake? nitakusaidia kukumbusha:
1. Edward lowasa - alikuwa Waziri mkuu TZ na mjumbe wa CC na NEC ya CCM
2. Fredrick Sumaye- alikuwa waziri mkuu TZ namjumbe wa CC na NEC ya CCM
3. Mgana Msindai- alikuwa mwenyekiti wa wenyeviti wa CCM wa mikoa
4.Seif Sharif Hamad - Alikuwa Waziri kiongozi wa SMZ na mjumbe wa CC na NEC ya CCM
5. Hamad Rashid Mohd- alikuwa waziri wa TZ na mjumbe wa NEC ya CCm
6. Mansour Yussuf himid- alikuwa waziri wa SMZ na mjumbe wa halmashauri ya CCM
7. Khamis Mgeja alikuwa mwenyekiti wa CCM wa mkoa Mwanza
7. Makongoro Mahanga _waziri wa serikali ya CCM
8.lawrence Masha - waziri wa serikali ya CCM
9.James Lembeli - Mbunge wa CCM
10. Ester Bulaya - Mbunge wa CCM
11. Mzee Hassan Moyo- Mwanachama muanzilishi wa CCM mwenye kadi namba 7!!!


Hao niliokutajia basi ni viongozi wachache tu ambao wameondoka CCM hivi unataka kutueleza ya kwamba wewe unauchungu na CCM kuliko hao? najua uko CCM kwa maslahi yako lakini kumbuka unapomwonyesha Kidole mwenzako basi ujue ya kwamba vidole Vinne vinakuangalia wewe. Toka huko CCM unangoja nini??? Au huko kwenye CCM ndio kuna wale walaji wa Chilisosi?

Very useful post. Halafu huyu bwana mdogo hajui hata Wassira alikuwa chama gani! So pathetic.
 
Wote waliondoka walipigwa risasi katikati ya mapambano,CHADEMA bado inasonga mbele kuelekea Ikulu na wapiganaji kibaoo.
 
Umesahau Slaa alitokea CCM,na Wassira alikuwa NCCR Mageuzi au ndio mihemko?
 
hata Mimi nimestuka isee ukawa hawapati kura Yangu kama wale walikua wanaendesha maisha yao kupita chadema sembuse Mimi hata nikiugua hawanijali mfano wale waliopigwa mabom arusha wangine walikufa na wengine kuvinjwa miguuu hawakupata Huduma sasa kuanzia leo mabadiliko nitayatafuta ndani ya hapa kaxi tuu
 
Katika wote uliowataja ni mmoja tu ndiye karudi ccm lakini wengine wote wameenda vyama vingine au hawana vyama, tofauti na walioondoka ccm kuja chadema in wengi mpaka mawaziri, mawaziri wakuu, wenyeviti wa ccm wa mikoa n.k.
Liache ilo ngese
 
CHADEMA iliwapa popularity Kabouru, Zitto, Arfi,Slaa na wengine wengine wengi watabaki chama kitabaki imara kwasababu misingi ya CHADEMA ni wananchi.

Lakini safari hii baada ya Magufuli kuapishwa kitakufa, tena kitatoweka kabisa katika ulimwengu wa siasa bila ya kuacha hata alama
 
Kaondoka Chris Lukosi - Mwenyekiti Chadema UK
Kaondoka Zitto - Naibu Katibu Mkuu Chadema.
Kaondoka Dr Dr. Wilbroad Slaa - Katibu Mkuu Chadema.
Kaondoka Said Arfi - Makamu Mwenyekiti Chadema
Kaondoka Prof Kitila Mkumbo
Kaondoka Mzee Wasira

Na wengine weeengi walioshika nafasi za juu ndani ya Chadema baada ya kustuka na kujitambua.
Sasa wewe mwenzangu usie na mbele wala nyuma bado unang'ang'ania tuu popooz kama vile una hisa huko?

Kama Mbowe aliweza kuwasaliti wote hapo juu ambao ndio waliokijenga chama, wewe ni nani akuone wa maana zaidi ya kukutumia?

Kijana mwenzangu shituka! Usikubali kufanywa ---- na wajanja wachache.

SISI SOTE NI NDUGU, TATIZO NI LOWASSA, MBOWE NA VIBARAKA WAO.

TUMUUNGE MKONO MAGUFULI KUKOMESHA MAFISADI NA KULETA KUJENGA TANZANIA MPYA YA WOTE.

Hakuna watu wanaoitwa CCM au UKAWA , bali kuna watu wanaitwa WATANZANIA.

MAGUFULI ATAKUA RAIS WA TANZANIA KWA AJILI YETU NA KWA AJILI YA WOTE KWA MAENDELEO YA WATANZANIA









Na kama wenye hadhi zao waliokuwa ndani ya CCM wametoka kwa kuona CCM ni chama kinachoendeleza ufukura na umaskini wa watanzania, ni chama kinachoifilisi nchi kwa manufaa ya kundi fulani na familia zao,
WEWE ni nani hadi ujitie kukusemea, kisa umevalishwa fulana yenye nembo ya mwenge na kulipwa buku 7?!!!
 
Kaondoka Chris Lukosi - Mwenyekiti Chadema UK
Kaondoka Zitto - Naibu Katibu Mkuu Chadema.
Kaondoka Dr Dr. Wilbroad Slaa - Katibu Mkuu Chadema.
Kaondoka Said Arfi - Makamu Mwenyekiti Chadema
Kaondoka Prof Kitila Mkumbo
Kaondoka Mzee Wasira

Na wengine weeengi walioshika nafasi za juu ndani ya Chadema baada ya kustuka na kujitambua.
Sasa wewe mwenzangu usie na mbele wala nyuma bado unang'ang'ania tuu popooz kama vile una hisa huko?

Kama Mbowe aliweza kuwasaliti wote hapo juu ambao ndio waliokijenga chama, wewe ni nani akuone wa maana zaidi ya kukutumia?

Kijana mwenzangu shituka! Usikubali kufanywa ---- na wajanja wachache.

SISI SOTE NI NDUGU, TATIZO NI LOWASSA, MBOWE NA VIBARAKA WAO.

TUMUUNGE MKONO MAGUFULI KUKOMESHA MAFISADI NA KULETA KUJENGA TANZANIA MPYA YA WOTE.

Hakuna watu wanaoitwa CCM au UKAWA , bali kuna watu wanaitwa WATANZANIA.

MAGUFULI ATAKUA RAIS WA TANZANIA KWA AJILI YETU NA KWA AJILI YA WOTE KWA MAENDELEO YA WATANZANIA









Hao wote uliotaja, hakuna hata mmoja aliyetuletea chakula kwenye miji yetu, wala hawajatusaidia kulipia ada watoto wetu.Tuliwaunga mkono walipokuwa katika njia sahihi.

Wala sisi siyowafungwa wa fikra tusio weza kuchanganua mambo kama wewe.

Kwamba analosema au kufanya zito , Arfi, Slaa nahuyo mzee Wassira anayetaka kufia madarakani hata kama wamekosea tufuate tu. Haiwezekani, hayo mfanye watu wa CCM.

Magufuli akisahau kusema sera za chama jukwaani akaishia kupiga push up na kurukaruka, wote mnafuatia kurukaruka ovyo , ndiyo inakuwa sera.

Ninge kuelewa kama ungekuwa umehama huko CCM ,kama Lowassa na Sumaye wamehama wewe unasubiri nini huko?
 
Kwa nini usione kuwa kuondoka kwao inamaana Chadema haina mwenyewe.kwamba ukileta nyoko utaondoka tu.ivi kwa mambo aliyoyaanika Gwajima kuna mwenye akili ataamini Slaa kaonewa.halafu mbona wewe Lukosi husema kama Slaa alikufanya utimke,alimtimua Zito na kina Shonza,mbona hesemi
 
Kumbe ndio maana unaitwa 'chilisosi' - maanake unawasha lakini wenzako bado wanakula!!! Umeshindwa kuelewa ya kwa kwamba CCM ina list ndefu kama bara bara ya kukimbiwa na viongozi wake? nitakusaidia kukumbusha:
1. Edward lowasa - alikuwa Waziri mkuu TZ na mjumbe wa CC na NEC ya CCM
2. Fredrick Sumaye- alikuwa waziri mkuu TZ namjumbe wa CC na NEC ya CCM
3. Mgana Msindai- alikuwa mwenyekiti wa wenyeviti wa CCM wa mikoa
4.Seif Sharif Hamad - Alikuwa Waziri kiongozi wa SMZ na mjumbe wa CC na NEC ya CCM
5. Hamad Rashid Mohd- alikuwa waziri wa TZ na mjumbe wa NEC ya CCm
6. Mansour Yussuf himid- alikuwa waziri wa SMZ na mjumbe wa halmashauri ya CCM
7. Khamis Mgeja alikuwa mwenyekiti wa CCM wa mkoa Mwanza
7. Makongoro Mahanga _waziri wa serikali ya CCM
8.lawrence Masha - waziri wa serikali ya CCM
9.James Lembeli - Mbunge wa CCM
10. Ester Bulaya - Mbunge wa CCM
11. Mzee Hassan Moyo- Mwanachama muanzilishi wa CCM mwenye kadi namba 7!!!


Hao niliokutajia basi ni viongozi wachache tu ambao wameondoka CCM hivi unataka kutueleza ya kwamba wewe unauchungu na CCM kuliko hao? najua uko CCM kwa maslahi yako lakini kumbuka unapomwonyesha Kidole mwenzako basi ujue ya kwamba vidole Vinne vinakuangalia wewe. Toka huko CCM unangoja nini??? Au huko kwenye CCM ndio kuna wale walaji wa Chilisosi?



12. Mzee Kingunge ngombare Mwilu MUanzilishi wa Tanu na mwanachama wa CCM Kaondoka CCM.. na USAJILI bado Unaendelea>>>>
 
wasira??????hao wengine woooote waliikuta chadema na wameiacha ikiwa imara kingunge kaikuta ccm?lowasa kaiacha ccm imara?sumaye je na wengineo
 
Mbowe si amekiuza chama? We ngoja uchaguzi uishe hiyo chadema itabaki historia
 
Back
Top Bottom