Recent content by binkiko2

  1. binkiko2

    MAFUNDI TV

    Wewe kama ni fundi utaelewa kama sio fundi potezea
  2. binkiko2

    YouTube inalipa ila sio hapa Bongo

    Hizo nafanya,pia hiyo nikifanya sio mbaya
  3. binkiko2

    YouTube inalipa ila sio hapa Bongo

    Natamani na mm kujua hii kitu nawezaje
  4. binkiko2

    YouTube inalipa ila sio hapa Bongo

    Namimi nawezaje kuifanya hii biashara
  5. binkiko2

    MAFUNDI TV

    Tv yangu ya SONY BRAVIA imepata tatizo ghafla nikiiwasha inajizima,nahitaji fundi nipo,napatikana UBUNGO
  6. binkiko2

    TRA

    ENDAPO MTU AMEFUNGA BIASHARA MASHINE YA EFD ANAIPELEKA WAPI
  7. binkiko2

    Fundi Flat TV na vitu vyote vya umeme

    Tv yangu nikiiwasha inawaka halafu inaandika jina sony halafu inazima,ikifanya hvyo mara3 inazima kabisa inawasha taa nyekundu,Unaweza kuitibu fundi
  8. binkiko2

    Fundi Vifaa vya umeme

    Tv yangu inajizima yenyewe fundi
  9. binkiko2

    Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

    Jamani wanajamvi naombeni kwa yeyote anayeweza kunipatia namba ya dokta Kapona tafadhali alinisaidia sana tatizo la uzazi sasa kuna rafiki yangu anashida kama yangu nataka nimpatie
  10. binkiko2

    Biashara ya Kununua na Kuuza Mazao (nafaka): Jifunze Mbinu za Kuanzisha na Kusimamia

    B Naomba kujua bei ya kusafirisha mzigo Kwa gunia moja la mchele kutoka mbeya hadi dar ni sh.ngapi
  11. binkiko2

    Msaada: Nataka kukopa CRDB

    Mimi sio mtumishi ni mfanyabiashara tu Sent using Jamii Forums mobile app
  12. binkiko2

    Msaada: Nataka kukopa CRDB

    Hiki kipindi ni kigumu kukopesha ila kwa huu ugonjwa kuna biashara zinaathirika na kuna zinazo fanya vizuri,isipokuwa hofu ndio tatizo,maana huu ugonjwa bwana!usipo ufuata basi utaletewa haswa kwa watoa huduma Sent using Jamii Forums mobile app
  13. binkiko2

    Msaada: Nataka kukopa CRDB

    Jamani, nahitaji kwenda kukopa pesa CRDB vigezo na masharti yao ni yapi? na kama nina account na haijatumika muda mrefu naweza kupatiwa mkopo? Sent using Jamii Forums mobile app
  14. binkiko2

    Mijadala ya Mawazo na Michanganuo mbalimbali ya Biashara na Uchumi kwa Ujumla

    Msaada jamani wale mnaojua utaratibu wa benki,NI VITU GANI NATAKIWA KUWA NAVYO ILI NIWEZE KUPATIWA MKOPO KWENYE BENKI KAMA CRDB,yaani vigezo na masharti yao. Samahanini kama nimekosea jinsi ya kuwasilisha au kujieleza. Nawasilisha Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom