Habari za muda huu waungwana
Kwanza natanguliza samahani kama nitakuwa nawaboa ila kiukweli nataka kujua
Hivi ni kweli sony xperia z3 ni water proof
Mimi nimenunua juzi simu ya aina hiyo nataka kujaribu kuweka kwenye maji ila naogopa
Naombeni wataalamu mnifahamishe zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.