Nmekuelewa japo mshauri aulize maana sio kosa kuuliza mshahara wako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]haezi kufkuzwa kazi akiuliza wanataka kumlipa sh ngapi?
Ila najiuliza tu , hawakumuuliza salary expectations? Pia hawajampa barua ya offer ili asaini ?? Anyway bongo...
Mkuu noma....umekuja wakat sahihi maana Kila siku na update CV na nme apply post 500+ nliitwa Moja nkapata af siku ya kuanza kazi wakanibadilikia.
yani bila hii post yako nilikua naamini nmelogwa ila now umenipa Imani Mungu pekee hajanifungulia naendelea kumtanguliza anifungulie.
Story za AliNacha . Hapana mze eti ulipata kazi ukaacha umeona aibu umeshindwa kuspell. Mtaonibishia kasomeni Uzi wa story ya AliNacha uone mawazo ya huyu ni robati ni fantasy zake tu. Anapoteza mda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.