Recent content by BinAd

  1. B

    Zitto: Msajili wa Mahakama Kuu ametukimbia, amefunga ofisi na kwenda kujificha

    Huenda Msajili anafahamu kitakachotokea hata hivyo Mahakama wapo, watajibu kuhusu taarifa hii.
  2. B

    Mbowe aliamua kujifunza kwa njia ngumu

    Aliyekuroga naona amekufa, kwa akili yako vyombo vya habari bado vipo? Ni kweli unaamka asubuhi kufungua radio/tv kupata habari? Unaamka asubuhi unakwenda barabarani kununua gazeti ili upate habari? Ni muda mrefu sana sijanunua gazeti, na haya ya yanoyoletwa ofisini sijayasoma na huwa nashangaa...
  3. B

    Ni nani anayesimamia gharama ya ziara za Lissu huko Ulaya na Marekani na anategemea faida gani?

    Tumemchangia sisi kama tulimchangia gharama za matibabu. Naona mnarudia rudia swali wakati tunawajibu, kama huridhishwi na jibu hebu lete jibu unalolijua.
  4. B

    Ni nani anayesimamia gharama ya ziara za Lissu huko Ulaya na Marekani na anategemea faida gani?

    Hebu jaribu kujipiga mkuki miguuni mara 5 kisha na utuonyeshe alama zake.
  5. B

    Ni nani anayesimamia gharama ya ziara za Lissu huko Ulaya na Marekani na anategemea faida gani?

    Kwa mara ya kwanza nasikia kwako kuwa serikali imeshindwa kumpata dreva wa Lissu. Sasa naamini hata aliyempiga risasi Lissu naye amefichwa nanyi.
  6. B

    Ni nani anayesimamia gharama ya ziara za Lissu huko Ulaya na Marekani na anategemea faida gani?

    Kama serikali ilikataa kumtibu, sisi na wasamaria wema tuliamua kumchangia matibabu yake na tuliweka wazi. Na sasa tunaweka wazi zira zake na usiulize nia yetu. Kaa kimya kama ulivyokaa kimya baada ya kummiminia risasi na hujatuambia nani alikuwa nyuma ya shambulizi hilo na nia yake ilkuwa nini.
  7. B

    Assad vs Ndugai au Uadilifu vs Kupuuzia maadili?

    Huu ni ukweli mtupu.
  8. B

    Assad vs Ndugai au Uadilifu vs Kupuuzia maadili?

    Unafiki wetu unachangia sana kuzima mijadala ambayo siku ikilipuka inaweza kuwa na athari kubwa kwa mustakabali wa Taifa letu. Mijadala kama nafasi ya Uadilifu katika medani ya uongozi. It is this simple: kiongozi asiye mwadilifu kwa mkewe hawezi kuwa mwadilifu kwa taifa. Na kiongozi...
  9. B

    Nitaanza kumuamini Fatuma Karume siku akiwakosoa Babu yake (Mzee Karume) na baba yake (Amani)-Kelele zote ni njaa!

    Kila mtu anazaliwa na itikadi yake, hivyo mtoto hawezi kubebeshwa kosa la baba yake. Kama vile mke hashitakiwi kwa wizi alilofanya mumewe. Pole sana.
  10. B

    Uzi maalum kwa 'vitu used'

    can we talk 0767 263 643
  11. B

    Uzi maalum kwa 'vitu used'

    Nasubiri
  12. B

    Uzi maalum kwa 'vitu used'

    Bado ipo? Please call/WhatsApp 0767263643
  13. B

    Uzi maalum kwa 'vitu used'

    Bado ipo?
  14. B

    Natafuta mganga wa kienyeji

    Pole, sio peke yako walioathirika na biashara zao kuzorota na zingine kufa kabisa. Kuna kitu hakijakaa vizuri na hakijapata mfumbuzi. Hata hao waganga wa kienyeji wanalalamika.
  15. B

    Misungwi, Mwanza: Aenda jela miezi 6 kwa kosa la kumdhihaki Rais Magufuli

    Pole, Magereza hayakujengwa kwa ajili ya kutesa watu, ni vituo vya kurekebisha tabia. Hata hivyo mateso hayo hayatabadili ukweli, kwani UKWELI HUBAKI KUWA UKWELI. Bora ya mimi mpaka nitoke jela, wewe tayari umeshafungwa na sasa unaamkia hiyo picha. Wewe endeleza uaminilo kutokana na uelewa...
Back
Top Bottom