Mbowe aliamua kujifunza kwa njia ngumu

Mbowe aliamua kujifunza kwa njia ngumu

Sophist

Platinum Member
Joined
Mar 26, 2009
Posts
4,486
Reaction score
3,411
Hadi sasa ni dhahiri kuwa Mwenyekiti wa Chadema Mh. Freeman Mbowe amekwisha kusahaulika miongoni mwa wanachama wa Chadema, vyombo vya habari na wadau wa Siasa za Tanzaia.

Pengine wanasiasa na wanaharakati wengine watumie ukweli huu kujifunza kuwa ukitaka kufanya Siasa jaribu kutumia njia nyepesi badala ya waingereza wanachokiita learning the hardway.

Mpigania uhuru na demokrasia hapaswi kujiruhusu kufa kwa njia rahisi, kwa mfano, kuuawa akigombea mwanamke baa au kufumaniwa. Ni vivyo hivyo kwa wanasiasa wa upinzani wanvyotakiwa kuhakikisha wanatii sheria za nchi.

Pengine akifanikiwa kutoka rumande kunako Februari (2019) atatoa somo kwa wengine. Amejifunza kwa njia ngumu. Tumuombee na kuwaombea!
 
8hEm1-Kj_400x400-1.jpg
 
Hadi sasa ni dhahiri kuwa Mwenyekiti wa Chadema Mh. Freeman Mbowe amekwisha kusahaulika miongoni mwa wanachama wa Chadema, vyombo vya habari na wadau wa Siasa za Tanzaia.

Pengine wanasiasa na wanaharakati wengine watumie ukweli huu kujifunza kuwa ukitaka kufanya Siasa jaribu kutumia njia nyepesi badala ya waingereza wanachokiita learning the hardway.

Mpigania uhuru na demokrasia hapaswi kujiruhusu kufa kwa njia rahisi, kwa mfano, kuuawa akigombea mwanamke baa au kufumaniwa. Ni vivyo hivyo kwa wanasiasa wa upinzani wanvyotakiwa kuhakikisha wanatii sheria za nchi.

Pengine akifanikiwa kutoka rumande kunako Februari (2019) atatoa somo kwa wengine. Amejifunza kwa njia ngumu. Tumuombee na kuwaombea!
Walahi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hadi sasa ni dhahiri kuwa Mwenyekiti wa Chadema Mh. Freeman Mbowe amekwisha kusahaulika miongoni mwa wanachama wa Chadema, vyombo vya habari na wadau wa Siasa za Tanzaia.

Pengine wanasiasa na wanaharakati wengine watumie ukweli huu kujifunza kuwa ukitaka kufanya Siasa jaribu kutumia njia nyepesi badala ya waingereza wanachokiita learning the hardway.

Mpigania uhuru na demokrasia hapaswi kujiruhusu kufa kwa njia rahisi, kwa mfano, kuuawa akigombea mwanamke baa au kufumaniwa. Ni vivyo hivyo kwa wanasiasa wa upinzani wanvyotakiwa kuhakikisha wanatii sheria za nchi.

Pengine akifanikiwa kutoka rumande kunako Februari (2019) atatoa somo kwa wengine. Amejifunza kwa njia ngumu. Tumuombee na kuwaombea!
Aliyekuroga naona amekufa, kwa akili yako vyombo vya habari bado vipo? Ni kweli unaamka asubuhi kufungua radio/tv kupata habari? Unaamka asubuhi unakwenda barabarani kununua gazeti ili upate habari?
Ni muda mrefu sana sijanunua gazeti, na haya ya yanoyoletwa ofisini sijayasoma na huwa nashangaa mpaka saa 10 jioni naona mengine bado hayajaondolewa hata pini (staple). Hii inaonyesha watu wengi hawayasomi.
 
Hadi sasa ni dhahiri kuwa Mwenyekiti wa Chadema Mh. Freeman Mbowe amekwisha kusahaulika miongoni mwa wanachama wa Chadema, vyombo vya habari na wadau wa Siasa za Tanzaia.

Pengine wanasiasa na wanaharakati wengine watumie ukweli huu kujifunza kuwa ukitaka kufanya Siasa jaribu kutumia njia nyepesi badala ya waingereza wanachokiita learning the hardway.

Mpigania uhuru na demokrasia hapaswi kujiruhusu kufa kwa njia rahisi, kwa mfano, kuuawa akigombea mwanamke baa au kufumaniwa. Ni vivyo hivyo kwa wanasiasa wa upinzani wanvyotakiwa kuhakikisha wanatii sheria za nchi.

Pengine akifanikiwa kutoka rumande kunako Februari (2019) atatoa somo kwa wengine. Amejifunza kwa njia ngumu. Tumuombee na kuwaombea!
Yuko jera na yeye kwa fumanizi au unajarbu kuhusianisha pasipo uhusiano?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kamwe usitumia JELA kama kitendea kazi cha kuwanyamazisha hawa wanasiasa wenye mawazo tofauti na ya kwako.

Bila kuwa mawazo kinzani lazima udumae kifikra sababu utafanya kitu kile kile kwa style ile ile miaka nenda rudi.
 
Aliyekuroga naona amekufa, kwa akili yako vyombo vya habari bado vipo? Ni kweli unaamka asubuhi kufungua radio/tv kupata habari? Unaamka asubuhi unakwenda barabarani kununua gazeti ili upate habari?
Ni muda mrefu sana sijanunua gazeti, na haya ya yanoyoletwa ofisini sijayasoma na huwa nashangaa mpaka saa 10 jioni naona mengine bado hayajaondolewa hata pini (staple). Hii inaonyesha watu wengi hawayasomi.
Mimi vyombo vya habari vya nchi hii ukiondoa mitandao ya kijamii siangalii wala kusoma tena maana hakuna habari za maana zaidi ya kulishana upupu wa habari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hadi sasa ni dhahiri kuwa Mwenyekiti wa Chadema Mh. Freeman Mbowe amekwisha kusahaulika miongoni mwa wanachama wa Chadema, vyombo vya habari na wadau wa Siasa za Tanzaia.

Pengine wanasiasa na wanaharakati wengine watumie ukweli huu kujifunza kuwa ukitaka kufanya Siasa jaribu kutumia njia nyepesi badala ya waingereza wanachokiita learning the hardway.

Mpigania uhuru na demokrasia hapaswi kujiruhusu kufa kwa njia rahisi, kwa mfano, kuuawa akigombea mwanamke baa au kufumaniwa. Ni vivyo hivyo kwa wanasiasa wa upinzani wanvyotakiwa kuhakikisha wanatii sheria za nchi.

Pengine akifanikiwa kutoka rumande kunako Februari (2019) atatoa somo kwa wengine. Amejifunza kwa njia ngumu. Tumuombee na kuwaombea!
Amepewa muda wa kutosha kujipanga upya ''When we are in pain of humiliation we sit back and digest how to move forward''
 
Hadi sasa ni dhahiri kuwa Mwenyekiti wa Chadema Mh. Freeman Mbowe amekwisha kusahaulika miongoni mwa wanachama wa Chadema, vyombo vya habari na wadau wa Siasa za Tanzaia.

Pengine wanasiasa na wanaharakati wengine watumie ukweli huu kujifunza kuwa ukitaka kufanya Siasa jaribu kutumia njia nyepesi badala ya waingereza wanachokiita learning the hardway.

Mpigania uhuru na demokrasia hapaswi kujiruhusu kufa kwa njia rahisi, kwa mfano, kuuawa akigombea mwanamke baa au kufumaniwa. Ni vivyo hivyo kwa wanasiasa wa upinzani wanvyotakiwa kuhakikisha wanatii sheria za nchi.

Pengine akifanikiwa kutoka rumande kunako Februari (2019) atatoa somo kwa wengine. Amejifunza kwa njia ngumu. Tumuombee na kuwaombea!
Asante nabii kwakutusahaulisha, wewe ni mtu wa mungu.
 
Atafanya nini? Hakuna aliye nyuma yake ukiondoa Familia yake labda!
 
Tuache kujidanganya. Mbowe yupo imara kama simba. Hakuna kutetereka. Jiwe ataondoka madarakani ataiacha CHADEMA ina nguvu kuliko alivyoikuta.
 
Back
Top Bottom