Recent content by Bin Kawambwa

  1. Bin Kawambwa

    Natafuta kifaa cha kutengeza hatch kama hii

    Jifunze kwa picha
  2. Bin Kawambwa

    Karibuni Jirani zangu wa Kibaha

    Tayari watu wanaishi
  3. Bin Kawambwa

    Just 2 bedrooms na toilet

    Huyu amejenga kwa ajili ya wageni, Ila kila mtu anajenga vile anapenda.
  4. Bin Kawambwa

    Just 2 bedrooms na toilet

    Exactly 💯 kabisa
  5. Bin Kawambwa

    Just 2 bedrooms na toilet

    Sasa hapo tyr naingia kazini, haiwez kua bure tu, chukua hizo picha unampa fundi wako wa karibu akupe hesabu yake then utalinganisha, Ukipenda unaweza ku-share na sisi hapa. Ila mimi nafanya mchanganuo pale kazi inapokua karibu kufanyika.
  6. Bin Kawambwa

    Just 2 bedrooms na toilet

    Kazi yangu kujenga, na ndio kazi nina uzoefu nayo kuuza ni biashara ya watu wengine. Kama umeiona 4M ndogo unaweza kuikabidhi (legally) ili ukabidhiwe unachohitaji. Lkn nimepokea wazo, Ahsante mkuu 🙏
  7. Bin Kawambwa

    Just 2 bedrooms na toilet

    Dsm Mkuu, By the way, Chumba ni elf 30 tu, tunalipa mwezi au miwili unafanya kazi ya watu ikiisha tunarudi. Umbali sio problem, mafundi tunazurura sana mikoani. Hata hapa dsm huwez kutoka mbezi uende site chanika au kivule kila siku, ni nafuu kuchukua chumba jirani.
  8. Bin Kawambwa

    Just 2 bedrooms na toilet

    Me mjenzi ndugu
  9. Bin Kawambwa

    Just 2 bedrooms na toilet

    Unaweza kuweka mlango mkubwa wa mbele, au ukaacha ikawa open ukatumia milango ya chumbani, kutegemea matumizi yako
  10. Bin Kawambwa

    Just 2 bedrooms na toilet

    HABARI, Hiyo hapo 2 bedrooms na public toilet, nzuri ya kuanzia maisha kwa wale wenzangu wanajitafuta, unaweza kuifanya servant quarter, unaweza pia kuifanya ya wapangaji. Gharama zote zilizotumika hapo ni 4.5M, boma hadi kufunika paa, na gharama za fundi zikiwemo. Wale wenzangu wa kujitafuta...
  11. Bin Kawambwa

    Kwa mil. 20 naweza kujenga nyumba ya vyumba vitatu Dar?

    Unapata nyumba ya room 3 iliyotimia, na kupaua pia, chenchi zitabaki kdg unapata na ma-grill, hela inaishia hapo.
  12. Bin Kawambwa

    Ujenzi wa msingi

    4-4.5M, pamoja na Ufundi
  13. Bin Kawambwa

    Challenge accepted: Tokea JF ianzishwe hakuna Mwanamke mrembo kuzidi Lamomy

    Miaka hiyo liliwahi kufanyika shindano hapa JF, mdada mmoja wa kuitwa lara1 akaibuka mshindi, Miss JF, Rudisheni mashindano wagombee
  14. Bin Kawambwa

    Hayo mambo ya kuitana mkuu mkuu yanachosha kazini niitwe mkuu humu napo ni mkuu aaah wengine tunahitaji muda wa kupumzika na hizo mkuu

    Nimekua mwanachama wa JF zaidi ya miaka 10 sasa, nili-note kwamba misamiati mingi mipya hua inaanzia hapa JF Kisha baadae sana ikaenea mitaani!!! Lkn mara nyingi ilianza kama lugha tu za humu JF, Mkuu, Kipochi manyoya, etc. Nafikiri uwaambie hao wa huko wakutafutie jina lingine, Hiyo "Mkuu"...
Back
Top Bottom