IPO wazi Hilo tushasolve tokea muda Sana ila kabla sjapata hii solution nliumiza Akili Atareee kwakukosea Email tu lakn wanasema Ukipata changamoto ndo utajua pakutokea bas hii ndo ikawa Njia ya ku solve Kwaio Anachokisema jamaa Yupo sahihi
Hongera kwa Uthubutu wako katika Hilo maana Jambo ambalo weng huwa linawashinda Ni Uthubutu wa Jambo Husika But Issue hapa sio kuwa na mtaji wa hiyo uliyo sema m 1.5 Kikubwa Ni Njia ipi uliyopata hcho Kia's Cha pessa then uboreshe mikakti ya Eneo husika Uendelee kupambane pale pale ulipoipata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.