Recent content by Billy the Goat

  1. Billy the Goat

    Sehemu ya mabaki ya Titan baada ya kuopolewa

    Baadhi ya Mabaki ya Chombo cha Titan mali ya kampuni ya utalii wa bahari iitwayo Oceans Gate, kilichopata hitilafu na kupasuka Kwenye kina kirefu cha bahari na kusababisha vifo vya watu watano waliokua wakienda kuangalia mabaki ya Meli ya Titanic, yameanza kuopolewa kutoka chini ya bahari Kwa...
  2. Billy the Goat

    Zelensky: Vita ya Urusi imefanya Afrika kuwa "Mateka"

    Aachane na Sisi..yeye mbona anadeka kama mtoto wa mwisho na Sisi hatusemi? Kama anafiri mdomo utashinda vita aendelee kupepeta atajifunza kitu with time
  3. Billy the Goat

    Mpaka sasa milioni 15 zachangwa kumuokoa Sabaya, asanteni Watanzania

    Amelewa huyu, mwambieni akae chini asiongee tena..anatia aibu ukoo wao
  4. Billy the Goat

    Kimara: Dada wa kazi adaiwa kumnyonga mtoto wa miaka 8

    Nao wonder unajiita "mjinga Mimi"
  5. Billy the Goat

    Kimara: Dada wa kazi adaiwa kumnyonga mtoto wa miaka 8

    Hapo juu wameandika "baada ya Moto kurudi shule" wacha kukurupuka. Na ni wangapi hii nchi wanaishi na ma-housengirl wanaowajua?
  6. Billy the Goat

    Hushpuppi adaiwa kutakatisha zaidi ya USD 400,000 akiwa bado Gerezani

    Aliyekuwa Gwiji wa utakatishaji fedha aliyejipatia umaarufu mitandaoni hasa Instagram, anayejulikana Kwa jina la Hushpuppi amefunguliwa mashtaka mapya na waendesha mashitaka wa Marekani wakimtuhumu kufanya ulaghai na kutakatisha zaidi ya dola za marekani 400,000 (zaidi ya Tsh Milioni 900) akiwa...
  7. Billy the Goat

    Ole Sabaya asomewa Mashtaka Sita (6) kwa Uovu aliotenda Hai. Aenda Rumande hadi Juni 18

    Sasa diplomasia inahusikaje kwa aliyekua mkuu wa wilaya
  8. Billy the Goat

    Rais Samia Suluhu Hassan afanya uteuzi wake wa kwanza Ikulu. Gerson Msigwa atolewa Ikulu, Dotto James ahamishwa. TPA, TCRA na TRA zapata wakuu wapya

    Ukitaka Official zaidi nenda UDOM https://www.google.com/url?sa=t&source=web&rct=j&url=https://m.facebook.com/permalink.php%3Fstory_fbid%3D713423648851057%26id%3D299343746925718&ved=2ahUKEwiXxcyXuebvAhVYhv0HHX7xDBAQFjACegQICBAC&usg=AOvVaw0tGynTSe6nf-K36FIdX1mT
  9. Billy the Goat

    Dkt. Kigwangalla: Mashine ya nyungu iliyo Muhimbili ivunjwe, viongozi wavae barakoa

    Ila kigwangala ana unafiki sana huyu mchunga ng'ombe wa Tabora, anaaibisha sana jamii ya wafugaji. Kwa mwaka mzima na miezi since COVID19 imeanza alikua anatetea ugali na kuudanganya umma ili abaki kua Waziri, kibaya zaidi this ignorant imbecil is a Doctor aisee, na ni kiongozi ana wananchi...
  10. Billy the Goat

    Taarifa kwa Umma: Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango ashiriki Ibada Takatifu ya Pasaka Dodoma

    Hivi hizi nafasi za kuongea na Watanzania tena wao wakiwa kwenye madhabahu wanapewa kwa criteria gani hasa? These people never learn..nyumba za ibada ziheshimiwe
  11. Billy the Goat

    UVCCM yaomba radhi vijana, yaahidi kumpa ushirikiano Rais Samia Suluhu Hassan

    Huyu jamaa aangaliwe sana. Watu wa namna hii hapo alipo ndio inatakiwa iwe sehem yake ya mwisho kushika madaraka, warudishwe kwenye mashina huko wapewe deskjob. Kiburi na majigambo ya namna hii ndio yale waswahili wanasema "Pata pesa tujue tabia yako", hii sio tabia ya kujifunza ndani ya miaka...
Back
Top Bottom