Jamani naomba kuuliza, ninataka kufungua m pesa ya million moja"
naomba ufafanuzi jinsi ya kupata faida na kiwango unacholipwa kama wakala
anayefahamu anijuze jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.