Tumekuwa maskini kwa sababu ya tabia zetu, familia tegemezi na kutojali ya kesho. Wengi tunaishi kwa kudra, ukiumwa ugonjwa unaohitaji matibabu ya milioni 10 lazima utembeze bakuli.
Tanesco, nimekosea kuandika namba ya mita yangu wakati wa kununua umeme, na nimeshapewa unit ambazo haziingii kuingia kwenye mita yangu, utaratibu wa kupata unit zinazoweza kuingia kwenye mita yangu upoje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahitaji gari ya kukodi tarehe 7 mwezi wa nne kuanzia saa 5 asubuhi hadi saa 6 usiku kwa ajili ya harusi, Aina za gari ninayohitaji ni Prado au range. Bajeti 250000.
Walimu wafanyishwe mtihani, sawa, wewe ndo utaandaa huo mtihani au nani? Na utasaisha mwenyewe au? Una uhakika unachopendekeza kitaondoa shida iliyopo Tanzania kwa sasa na baadae au?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.