However the bigest archivement is not what you become but what you overcome...Sala na kuendelea kutuma... who knows what 2moro will come with...provided hakuna kukata tamaa.
Hakuna kilicho ongelewa hapo nisiasa tu...kama mpo makini tupeni deadline ya kupokea maombi natarehe ambapo usaili utafanye punde mkiweka matangazo ya kazi na huo ndio uwajibikaji..
Tumesha potezewa mda huko tumechoka hamna jipya wizi mtupu...hamna chochote najua hiyo ni acc yako kila tuki try wana kwambia pesa zako zina ongezeka hamna lolote mwisho wata kwambia ujaze form then kuna code fulani hivi sikumbuki vizuri ila na fikiri ni zip code ambazo huto weza kujaza kwani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.