Recent content by Bilionea one

  1. B

    Nampongeza Aweda kwa kujilipua na hoja ya madawa ya kulevya ya (Mengi vs Nzowa )ITV , lakini....

    Ukiona mtu anawaza hivi ujue ndo mchezo wake. Mtendee haki Aweda kwa kutoa ushahidi wa dai lako. Kwa hiyo, kila thread inayomfagilia Slaa, Lema, Nape, Mbowe, Mwigulu ni wao wamejiandikia kwa ID faki? This called Inferiority complex
  2. B

    Natangaza kugombea ubunge jimbo la mbulu

    Hivi Mikael Aweda anatoka jimbo gani? Kama ni mbulu kaka utaweza kweli? Ninavyokuona hutaweza kupima naye nguvu. Lakini pia nasikia atajitosa Ukonga labdla.
  3. B

    Ni heshima na utaratibu kwa mchumba wa kiongozi kufanya hivi?

    Nasubiri gazeti la Mawio aka Mwanahalisi litanijuza Alhamisi jambo hili kwa undani.
  4. B

    Ni heshima na utaratibu kwa mchumba wa kiongozi kufanya hivi?

    mleta mada ni pungani wa mambo. Mtu anatoa maoni yake wewe unalalamika kuwa kamsemea Mnyika. Kamsemea mumewe, wewe ulitaka kumsemea mumewe?
  5. B

    Press Release: CCM yakanusha uvumi wa Kikwete kuruhusu wagombea kuanza kampeni!

    Nasubiri gazeti langu la Mawio aka mwanahalisi lilete undani wa janga hili la kihabari ndan ya ccm siku ya alhamisi bila chenga. Mia.
  6. B

    Press Release: CCM yakanusha uvumi wa Kikwete kuruhusu wagombea kuanza kampeni!

    mkiti wenu aseme halafu mnakanusha kwa kusema amenukuliwa vibaya wakati ukweli ni kwamba mkit aliteleza. Yaujazayo moyo ndo yatakayo kinywani.
  7. B

    Bunge laahirishwa ghafla kutokanana msemaji wa upinzani kudai serikali inaua waandishi wa habari

    Wewe umeambiwa ninyi mmegoma kuunda tume ya kimahakama mmegoma.Jibu hoja why? Usileta typing error hapa.
  8. B

    Siri za kifo cha Kamanda Barlow zavuja, kamanda wa Polisi Muna atajwa! Taarifa zamfikia Pinda

    Mmmmh!! 10,000/= aende bungeni???? Kutoka Mwanza??? Sorry, walimpa nauli yote na Tsh 10,000/= ya chakula cha njiani. Nitaedit
  9. B

    Siri za kifo cha Kamanda Barlow zavuja, kamanda wa Polisi Muna atajwa! Taarifa zamfikia Pinda

    Sasa ni wazi kwamba aliyekuwa kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Mwanza ameuawa na genge ndani ya Polisi akiwemo Kamanda Polisi anayejulikana kwa jina la Muna, gazeti la Jamhuri limeripoti katika ukurasa wa Mbele kabisa (Nimesoma kwenye website yao Deo Balile akilalamika gazeti kununuliwa kwa...
  10. B

    Ombi la Aweda kwa TBC alilotoa jana kupitia ITV Murua, Naiunga mkono

    Ombi limekataliwa kwa sababu, ukionesha kila kitu ccm itaumia.
  11. B

    Dr. Slaa anasa mikakati na njama za kukihusisha CHADEMA na kutekwa Kibanda

    Acha pumba wewe, usizungumze yasiyokuwapo. ujinga mtupu.
  12. B

    Dr. Slaa anasa mikakati na njama za kukihusisha CHADEMA na kutekwa Kibanda

    Mimi sijui lakini kuna mtu amedai kuwa Mtumishi wenu + Taifakwanza ni Juliana Shonza na mwampamba. Nakuuliza je, ni kweli? Kama siyo kweli wewe niambie. Kama ni kweli, hapa unamtuhumu Aweda kwa uwongo tu kwa sababu amekuweka kwenye uzi wake.
  13. B

    Dr. Slaa: Josephine alikuwa mtaalam pekee wa IT wa UNHCR kanda ya Africa, ni international figure!

    Hofu yako tu, habari iko ktk ukurasa wa mbele wa gazeti inayosomwa na watu wengi kuliko hapa JF. Hilo unalisemeaje? Wacha tujue mawazo ya maccm halafu tuwajibu hapa hapa JF. Hoja tunajibu, uzushi tunawapuuza.
Back
Top Bottom