Recent content by BILIKUNDI

  1. B

    JamiiForums Tanzania Mh.Mkosa Mali:Ivi mnawezaje kudanganya watu wawachague kwa wizi mkubwa kama huu?

    Fuatilia vizuri, Felix Mkosamali ni Mbunge wa Kibondo jimbo la Muhambwe. Yupo Mpiga kura anayeweza kuwachagua CCM ambaye kwa namna moja au nyingine naye anafaidika na huo unaouita wizi. Lakini wao wanauita ujasiriamali as they are taking risk to do it.....
  2. B

    JamiiForums Tanzania Kama Mkapa angekuwa dikteta!

    This is a spam in mind,Mods, Pls assist us to make it out of sight please
  3. B

    JamiiForums Tanzania Demokrasia na Maendeleo ndani ya CHADEMA

    Uongo uliotukuka, Zidumu Fikra duni kwetu sisi tulio duni. Idumu Dhana ya kwamba sisi ndio wenye nchi na wenye dhamana ya wote Ipo siku tutatambua madhira ya kuwa negative na destructive kwa vitu ambavyo ni productive. Lakini ninaoufahamu ni kwamba Dr. Slaa si kwamba alikosa upadre ila...
  4. B

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe kukutana na Waandishi wa Habari tarehe 24 Novemba 2013

    Naomba kidogo adabu iwepo hata kama kwenu haujafunzwa hilo basi na ukajifunze kwa dunia. Watu wa Kigoma si uzao wa sokwe tafadhali tengua kauli yako kabla .........................
  5. B

    JamiiForums Tanzania John Mnyika: Hoja ya ujanja ujanja!?

    Kwa kweli umenifanya nitabasamu japo siku nzima ilikuwa imepita nikiwa na hasira zisizo na msingi. Asante kwa chakula cha akili
Back
Top Bottom