Recent content by Bila bila

  1. Bila bila

    Mufti Mkuu Abubakar: Mkristo hawezi mfanyia fujo Muislam

    Kwani Mashariki ya Kati kuna vita ya kidini? Nyie ndo mnakesha humu mkisema Israel siyo Wakristo, Sasa huo vita ya uislam na ukristo inatoka wapi? Yaani Irani akipigana wanakuwa wamepigana Waislamu wote?
  2. Bila bila

    Kifo cha Athumani Nyanza kinasikisha lkn kiwe funzo kwa vijana wa kiislamu

    Mtume ndo aliwaambia ukikaa na mwanamke bilà ndoa unakuwa UMEMFUGA?
  3. Bila bila

    Dkt Ayub Rioba akana tuhuma za yeye kuwa chawa

    Hata Luca Mwashambwa hajawahi kukubali yeye ni Chawa.
  4. Bila bila

    CHADEMA yakutana na Mwakilishi wa UN, ni kuhusu Mauaji ya kupangwa ya octoba 29, Moto umewaka

    Watanzania waache misiba yao wafuatilie misiba ya Iran? Wa
  5. Bila bila

    Polisi Pwani: BAWACHA walikuwa wanaenda kutekeleza uhalifu

    Tukisema Polisi ndiyo chanzo cha Uhalifu nchi hii muwe mnatuelewa. Polisi wamekamata Wahalifu hatari halafu wamewaachia.
  6. Bila bila

    Watu wasio na hatia wanauawa kinyama na makombora ya Mmarekani Iran. Kesho unasikia mtu anabetua mdomo wake anataka uchunguzi Ufanyike Tanzania

    Kweli wewe ni taahira mwandamizi. Uue Watanzania tunyamaze kisa Wairan wanasiasa na Marekani?
  7. Bila bila

    Dkt. Mwigulu anafanya ziara hewa mambo mazito anayakwepa ni usanii mtupu

    Naunga mkono hoja. Yule kichaa wa Arusha anayelalamika anabakwabakwa stendi ni hoja ya kumpa Waziri Mkuu kweli?
Back
Top Bottom