Recent content by Bila bila

  1. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Katambi: Ajenda ya katiba mpya sio ya wapinzani ilianza tangu Awamu ya Nne chini Kikwete

    Un Unaona kabisa tatizo la umeme kichwani lilivyo kubwa serikalini.
  2. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Kocha wa Yanga akiendelea kutumia mawinga wake hivi msimu huu hatoboi

    Nikusaidie ili usiendelee kupotisha watu. Zakouan ni left footer na alikuwa anatokea kulia, Kangwanda anacheza miguu yote angalia Kona zote alizopiga zipo alizopiga Kwa mguu wa kulia zipo za mguu wa kushoto na alikuwa anatokea kushoto.
  3. Bila bila

    JamiiForums Tanzania UVCCM Dar: TFF wanapaswa kumfuatilia kwa umakini sana John Heche kwa kauli zake kuhusu mpira wetu na wamhoji

    Upumbavu kama huu ndo silaha ya CCM.
  4. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Magori: Selemani Mwalimu mchezaji gani yule wa kumlipia Tsh. Bil. 1 kwa mkopo?

    Wapi umeona bil.1? Au ukivyosikia Huyo mbwabwajaji ndo ukaamini? Mangungu ni kiongozi Bora siyo Magori kutafuta fursa.
  5. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Utambulisho wa Selemani Mwalimu, Simba

    Kuanzia leo TUTAKUFUATILIA!
  6. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Kwa Hasira nilizonazo juu ya Kinachoendelea sasa Simba Sports Club nakuomba Fei Toto usije Simba SC bali nenda zako Yanga SC

    Nakuunga mkono Kwa hili. Kiujumla ukisikia utoto wa uongozi ni hiki kilichofanyika Kwa Sele. Huwezi kutwmbulisha mchezaji mara 2 ukijua hujamsajili rasmi.
  7. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Tume Mpya ya uchunguzi wa mauaji ya Oct 29 na kizungumkuti cha kumtosa Yuda baharini!

    Wewe ni muuaji na unatetea muuaji mwenzio anayejisafisha damu isiyoisha.
  8. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Jinsi Kikosi cha Simba kinavyoweza kupangwa akiwemo Ibraheem Jabaar

    Niliacha Muda unisaidie kuongea nadhani mmeona.
  9. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Mtaalam wa Mpira niliposema hapa last week kuwa Doumbia siyo Mchezaji mkanibeza, mbona sasa leo baada ya Kipigo mmeanza Kumkataa?

    Hili la kumsingizia Mangungu Kila kitu ndo linasikitisha zaidi.
  10. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Mzee Philipo umezeeka mwili ila Kili bado za kijinga

    Sikutegemea kama na yeye hana akili kama CCM wengine.
  11. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Safari ya chadema kuchangisha milioni mia3.34 imefikia wapi ndugu wadau wa Jf?

    Utekaji ndo unaokupa posho.
  12. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Unafikiri kwa nini CCM haina ushawishi kwa members wengi humu JF?

    GT waunge mkono Wahuni?
  13. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Tetesi za usajili Ligi Kuu msimu wa 2026/27

    Nakuombea aperform vinginevyo jina la Vinjabei ni lake.
  14. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Napendekeza Tundu Lisu aachiwe huru kwa mujibu wa sheria, akamatwe tena na kufunguliwa mashtaka upya yenye ushahidi mpya uliothibishwa.

    Naamini Samia amejifunza kuhusu upuuzi wenu. Kama hajajifinza basi kuna shida mahali.
Back
Top Bottom