Recent content by Bila bila

  1. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Hivi tunaenda kutoa Pole Unguja Zanzibar kwa Utashi wetu au tunaambiwa usipokuja utakiona cha moto kwa Hasira za Visasi?

    Huna haja ya kuweka Alama ya kuuliza Mkuu. Pigia msitari twende mbele.
  2. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Nimeumizwa sana na Kifo cha Mume wa Rais Samia hadi kushindwa kutulia Wiki nzima. Watanzania Tumuombee Rais wetu katika kipindi hiki kigumu

    Umeumizwa na kifo cha mume wa mwenzio kwani mliolewa wangapi?
  3. Bila bila

    JamiiForums Tanzania CCM imeendelea kua talk of the day katika kila kongamano la kisiasa nchini.

    Kanisa, Msikiti, Sinagogi, Hekalu au nyumba yoyote ya Ibada wataacha kumuongelea Shetani baada ya Kiama.
  4. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Polisi form four failure wanataka kumuua Daktari Bingwa

    Niliposoma Taarifa ya Muliro eti Daktari kapigwa na wananchi Wenye hasira nilihitimisha kwa dhana halisi ya matumizi madogo ya akili Kwa Polisi. Ni raia gani alimpiga Daktari? Kwamba nchi hii raia wanawachukia madaftari na kuwapenda Polisi kiasi wakikuta wanapigana wanakuwa upande wa Polisi...
  5. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Polisi mnashinikizwa na CCM kubambikia watu kesi: Ushahidi huu hapa

    Kutongoza bila ridhaa ya mtongozwaji.
  6. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Polisi mnashinikizwa na CCM kubambikia watu kesi: Ushahidi huu hapa

    Kampenda Mtu ni hisia, kisha kutafsiri hizo hisia Kwa vitendo ndo utongozaji wenyewe. Hapo Sophia kafanya kosa gani la Jinai?
  7. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Polisi mnashinikizwa na CCM kubambikia watu kesi: Ushahidi huu hapa

    Jana aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Tabora Paul Chacha alikabidhi ofisi kwa Mkuu mpya wa mkoa huo Juma Homela. Moja Kati ya mambo muhimu aliyomtahadharisha ni tukio lililowahi kumtokea yeye la kutongozwa kwa njia ya simu na binti aliyemtaja Kwa jina moja la Sophia. Akifafanua Jinsi alivyolimaliza...
  8. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti chama cha AFP: Sikubaliani na Katiba ya Warioba imepitwa na wakati

    Rasmu ya mwaka 2014 imepitwa na wakati kuliko Katiba ya chama kimoja ya 1977 yaani miaka 37 katikati na bado kuna Chawa anasema imepitwa na wakati?
  9. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Mshabiki wa soka nchini wamvaa mtangazaji Baraka Mpenja

    Kwanza amejitahidi kuwajibu Kwa sitaha maana hamna akili wewe na wapuuzi wenzio.
  10. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Kamati ya Kusukuma Maridhiano ya Kitaifa inawaomba CCT,TEC,BAKWATA waunde Kamati ya suluhu na uapatanisho ili kusaidia juhudi za Maridhiano nchini

    Tapeli mkubwa. Una tofauti gani na Mwaipopo na Jeshi lake la Askari 30000 halafu anabembelezwa?
  11. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Mzee Mangula: Magufuli hakutoa Rushwa kwenye mchakato wa uchaguzi 2015. Wajumbe walimuunga mkono Lowassa

    Hizi ndo sifa halisi za CCM Sasa, achana na zile za amani na blabla nyingine.
  12. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Huyu Chuga Boy hata Namungo hana nafasi ya kuanza

    Umemaliza Kila kitu Mkuu.
  13. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Hakuna anayependa Jeshi lake lichafuke. Nimewalinda ndio maana nimewabadilisha

    Wakuu wa Mikoa Tanganyika wanaapishiwa nchi jirani?
  14. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Ni Halali kabisa Kuyumba Na Kupoteza Muelekeo kwa CHADEMA. Mnyika Elimu Kidato cha 6 Huku Heche Akiwa Na Elimu ya Hapa na pale. Wafuasi nao sifuri

    Kama PS mwenye div.4 ya form IV anaongoza nchi unapata wapi guts za kudiss form 6 mwenye div.1?
  15. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Huyu Chuga Boy hata Namungo hana nafasi ya kuanza

    Umetisha Mkuu.
Back
Top Bottom