Nikusaidie ili usiendelee kupotisha watu. Zakouan ni left footer na alikuwa anatokea kulia, Kangwanda anacheza miguu yote angalia Kona zote alizopiga zipo alizopiga Kwa mguu wa kulia zipo za mguu wa kushoto na alikuwa anatokea kushoto.
Nakuunga mkono Kwa hili. Kiujumla ukisikia utoto wa uongozi ni hiki kilichofanyika Kwa Sele. Huwezi kutwmbulisha mchezaji mara 2 ukijua hujamsajili rasmi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.