Ficha upumbavu wako. Hiyo tume imesimamisha shughuli za serikali nyingine Duniani?
Mtu Katenganishwa kichwa na kiwiliwili unasubiri Taarifa ya Polisi kuthibitisha kifo chake.
Tusiwe tunapelekwa kama mazuzu wakati Vitabu vya sheria na Kanuni vimeandikwa vipo. Ili kujiridhisha na ulichokisema Jana kwenye bunge lenu tuambie ni kifungu gani cha PGO kinachosema Mtu akielekeza jiwe Kwa Polisi he has to shoot at first kama ulivojinasibu Jana.
Kama hutataja basi toka...
Kwa yeyote aliyekusikia Leo ukichangia hoja kwenye bajeti (whatsoever) ya Wizara ya mambo ya nje umepiga mkwara Marekani wasiwajadili Kwa vile vyie ni Nchi huru? Uhuru wenu ndo uwanyime Uhuru wengine kujadili Mambo yao?
Kujifafanya vipofu na viziwi wapumbavu àmbao mnatetea Unyama uliofanyika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.