Niliposoma Taarifa ya Muliro eti Daktari kapigwa na wananchi Wenye hasira nilihitimisha kwa dhana halisi ya matumizi madogo ya akili Kwa Polisi. Ni raia gani alimpiga Daktari? Kwamba nchi hii raia wanawachukia madaftari na kuwapenda Polisi kiasi wakikuta wanapigana wanakuwa upande wa Polisi...
Jana aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Tabora Paul Chacha alikabidhi ofisi kwa Mkuu mpya wa mkoa huo Juma Homela. Moja Kati ya mambo muhimu aliyomtahadharisha ni tukio lililowahi kumtokea yeye la kutongozwa kwa njia ya simu na binti aliyemtaja Kwa jina moja la Sophia. Akifafanua Jinsi alivyolimaliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.