Recent content by Bila bila

  1. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Tetesi: CHADEMA kwenye mazungumzo mazito na DPP kuhusu hatma ya Lissu

    Mpuuzi mkubwa. Mmetumwa kuanzisha uharo ili akiachiwa mseme CHADEMA waliomba?
  2. Bila bila

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Muswada wa Bunge la Marekani ni kuingilia mchakato wa Tume ya Uchunguzi wa Kijinai

    Ficha upumbavu wako. Hiyo tume imesimamisha shughuli za serikali nyingine Duniani? Mtu Katenganishwa kichwa na kiwiliwili unasubiri Taarifa ya Polisi kuthibitisha kifo chake.
  3. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Said Issa Mohamed afukuzwe haraka CHADEMA

    Uwe mtulivu wewe ni kijana muhimu Kwa Chama kanda ya Nyasa. Nakuomba tulia Kwanza halafu nitafute siku kama ya Leo Mwezi ujao.
  4. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Rais Nyerere na Magufuli Walikataa, Rais Samia Usikubali Nchi Yoyote Kuingilia Sovereignty Yetu, Iwe ni US, UK or EU!, Kwani Marekani Ndio Nani, Nini?

    Watu wengi walishakudharau wakati wewe unadhani bado wanakuheshimu. Kutetea Mauaji huwezi kuheshimika Bro.
  5. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Mahmoud Thabit Kombo tutajie kifungu cha PGO kinachosema Polisi akirushiwa jiwe anatakiwa kumpiga risasi mara moja

    Tusiwe tunapelekwa kama mazuzu wakati Vitabu vya sheria na Kanuni vimeandikwa vipo. Ili kujiridhisha na ulichokisema Jana kwenye bunge lenu tuambie ni kifungu gani cha PGO kinachosema Mtu akielekeza jiwe Kwa Polisi he has to shoot at first kama ulivojinasibu Jana. Kama hutataja basi toka...
  6. Bila bila

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia Hajawahi kuua Mtu wala Kutoa Maagizo ya Kuua Mtu Yeyote yule

    Subiri utamwadikia akiwa jela.
  7. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Leo Nape unaipiga mkwara Marekani?

    Kwa yeyote aliyekusikia Leo ukichangia hoja kwenye bajeti (whatsoever) ya Wizara ya mambo ya nje umepiga mkwara Marekani wasiwajadili Kwa vile vyie ni Nchi huru? Uhuru wenu ndo uwanyime Uhuru wengine kujadili Mambo yao? Kujifafanya vipofu na viziwi wapumbavu àmbao mnatetea Unyama uliofanyika...
  8. Bila bila

    JamiiForums Tanzania CCM na utii wa sheria

    Neno indeed linapendwa na Mafala, achana nalo kama wewe siyo fala.
  9. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Hizi mbinu za Kuficha Bunduki, zinaisaidia CCM au zinaiangamiza? Nani yupo nyumba ya huu mchezo?

    Tilahtilah na Lucas mwashambwa.
  10. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Soma Ujumbe Mzito wa Barack Obama Juu Ya Kuwaheshimu Askari Wetu Waliojitolea Sadaka Maisha yao kwa Ajili ya Taifa Letu Ambao Hatuwezi Kulipa Deni

    Polisi waliheshimika na Kila Mtu walipolinda Uhai lakini walipoanza kupora Uhai wamekuwa adui wa wengi isipokuwa nyie mnaolipwa kutetea Unyama.
  11. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Vyama vya wafanyakazi vyalia na ongezeko la kodi

    Chawa Promax.
Back
Top Bottom