Wakati wa mahojiano na DW Waziri ndumbaro amekaririwa akisema Wamasai washio Ngorongoro siyo wenyeji halisi wa ngorongoro.
Imeibua mjadala mingi baada ya wananchi wasomi kutoka jamii ya kimasai kumwomba rais kutengua waziri wa mali ya asili kwa kauli yake kwamba Wamasai kwao ni sudan na siyo...
Wasalaam kutoka Ngorongoro.
JF na Great thinkers wote wa humu wamekuwa na mchango mkubwa kwa matatizo yanayowakabili wananchi wa Tanzania kutoka maeneo mbalimbali...
Nawandikia hivi ikiwa kuna mgogoro mkubwa ndani ya Ngorongoro ikihusishwa na nia ya Serikali kutaka kuwaondoa wananchi hao...
Salam kutoka wilaya Ngorongoro.
Mhe.Rais wananchi wa Ngorongoro kama walivyo Watanzania wengi walikuwa na imani na wewe lakini imani inapungua siku baada ya siku.
Mhe.rais kwa 2020 jimbo la Ngorongoro kwa nafasi ya rais mlizoa kura zaidi ya 87% na tangu uhuru wa nchi hii hili jimbo halikuwahi...
Niliingia mtego wa kumpenda na kumheshimu mama samia suluhu mara tu alipoapishwa kuwa rais nikijua atakuwa rais bora lakini nimegundua nilikuwa wrong, niliapa kumpa kura yangu 2025 ingali mm ni mpinzani!!
Anyway mama amekosea sana kwa suala la mbowe na akitaka watanzania tulio na akili timamu...
Mhe Rais na Amiri Jeshi Mkuu, Mama Samia Suluh Hassan, wakati wa kuwapisha makatibu wakuu na baadhi ya wakuu wa taasisi mbalimbali za serikali aliagiza wizara ya maliasili na utalii inayongozwa na mhe.Dr Damas ndumbaro(MB) watafute suluhisho la kudumu ndani ya wenyeji waishio ndani ya mamlaka ya...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI TAMKO LA MADIWANI NA VIONGOZI WA MILA (ILAIGWANAK) WA ENEO LA HIFADHI YA NGORONGORO (TARAFA YA NGORONGORO) JUU YA UHIFADHI NA JAMII
Sisi, Madiwani na Viongozi wa Mila (Ilaigwanak) wa Tarafa ya Ngorongoro (eneo la Hifadhi ya Ngorongoro), Wilaya Ngorongoro kwa niaba...
Huyu jamaa ni kilaza sijawahi kuona.
Funzo kubwa kuhusu Trump (rais wa USA) ni kwa ccm na madikteta wote wa africa kwamba hamna yeyote aliye juu ya sheria siyo rais wala spika wa bunge.
Umeshindwa kuandika kuhusu ndugai aliyevunja ibara ya katiba yetu live live ya kuwatambua wabunge...
Tatizo siyo kingine..
Ni gharama kubwa ya kutembelea mbuga zetu.
Ningeshauri wizara ya maliasili ipunguze gharama ya kuingia ngorongoro, Serengeti, lake manyara, tarangire, kilimanjaro na arusha national park cos ndio mbuga zinatembelewa sana bila kupunguza msitarajie mabadiliko yeyote.
Hiyo ni kirusi kipya ya kuwakomesha waafrika!. Tumwombe Mungu sana wazungu siyo watu wema
Baada ya kuona kwamba tumeweza kusurvuve kuliko kwa corana ya mwanzo kuliko wao
Hapa rasmi nimeelewa kuna lengo nyuma ya corona
...hiyo ipo ndani ya mamlaka ya hifadhi ya ngorongoro (NCAA)
EMPAKAI CRATER na oldonyo lengai na milima ya kerimasi..
Hiyo yote ni maeneo ya asili ya Wamasai wa ngorongoro..!!
Jamii ya kimasai tangu zamani wamekuwa wakiishi miaka kadhaaa sasa bila kuharibu uoto wote wa asili..
Na hiyo crater ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.