Habari za mida wadau wana JF,
Kwanza kabisa heshima kwenu wadau.
Pili naomba kufahamu taratibu za kubadiri internation passport/(hati ya kusafiria) ya zamani kuwa ya sasa (electronic passport)
Kwa yoyote anaefahamu taratibu hizo.
Ata mimi nilishakutana na picha kama lako boss, kipinidi niko ikwilili kikazi wakati nataka kurudi dar, nilitamani kununua kitanda kipya kabisa lakini nilishindwa bila kuwa na kibali so shits happened wazee.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.