Unauliza swali ambalo hata mjinga hawezi kuuliza wewe ushasema serikali ya zanzibar ambayo katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania imeieleza itashughulika na Mambo yote yanayohusu zanzibar mtu wa bara ataingiaje, hii ni serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania nchi 2 zimeungana kuunda...
Oya TBC Kila wakati inatoa miongozo ya NEC kuhusu Sheria za kampeni kuwa kampeni zote zitatumika Kwa lugha ya Kiswahili na marufuku Kwa mgombea yoyote kupiga kampeni kwa lugha isiyokuwa Kiswahili na kama wananchi wa eneo husika hawafamu vizuri Kiswahili basi mgombea ataongea Kiswahili na...
Hapana hayo maoni tu na kwenye maoni yapo mazuri na mabaya, yakiwa mazuri maoni yanachukuliwa yakiwa mabaya maoni yanatupwa tu hakuna ulazima wa kuyakubali. Mathalan mgombea anakubalika katika chama lakini hakubaliki na wala hauziki Kwa wananchi katika Jimbo, lakini kuna mgombea hakubaliki sana...
Hapana hesabu hazijakataa ni ukweli usopingika mgombea pekee katika wagombea watatu aliyekuwa anakubalika pande zote mbili za ccm bara na zanzibar ni dk Hussein.
Ninaamini bila Shaka yoyote kura 95 za wajumbe wa nec bara zilienda Kwa Hussein Mwinyi. Kwa sababu wao pia walikuwa wanaamini...
Sio kweli wajumbe wa nec ccm Zanzibar jumla yake 68. 33 kati ya hao wamempa kura Dk Hussein. 35 wamegawana Dk Khalid na Mh Nahodha Kwa hiyo Dk Hussein Mwinyi amepata nusu ya kura za wajumbe wa nec kutoka Zanzibar.
Watu wasiokuwa na nia safi wanaopenda mifarakano na kuendeleza siasa za chuki na...
Every man has right to decide. Watu wanabaidili dini ambalo ndio Jambo zito zaidi itakuja kuwa chama hata muasisi wa chama cha mapinduzi hayati baba wa taifa mwalimu Julius K Nyerere kawambia wana ccm na taifa Kwa jumla kuwa ccm sio mama yake anaweza kuachana nacho kwa hiyo kama mh membe kaamua...
A
Anaamini falsafa yake ndio maana kaungana naye mh lowassa hakutoka ccm Kwa sababu hakipendi chama cha mapinduzi Bali alitoka Kwa sababu ya kwenda kutekeleza nia yake ya kugombea urais ndio maana alisema yeye mgombea urais ndani ya chama cha mapinduzi na nje ya chama cha mapinduzi. Halafu...
Bi Amina mama smart sana huyo ila kauli yake Kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa ccm ya kusema endapo angechaguliwa kuwa mgombea wa urais angeshirikiana na Edward lowassa. ikamuharibia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.