Recent content by bigKilaza

  1. bigKilaza

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Mfano nimehama kutoka TPA nikaenda wizara inayosimamia TPA, Mshahara wangu utashuka? Maana wizarani sijui kama kuna hizo scale za mishahara ya taasisi hizo.
  2. bigKilaza

    Wanaojua uhamisho wa utumishi unachukua muda gani.

    Kutoka elimu kwenda ujenzi(wizara)
  3. bigKilaza

    Wanaojua uhamisho wa utumishi unachukua muda gani.

    Kwa wale wanaofahamu ni muda gani mtu aliyeomba uhamisho kutoka wizara moja kwenda nyingine hujibiwa. Na ni namna gani mtumishi anaweza kupata taarifa za maendeleo ya taarifa ya maombi yake. Msaada kuna dogo langu linanisumbua nami sijui hata pa kuanzia.
  4. bigKilaza

    Anatropia Lwehikila awashukia wabunge waliodai kunyanyaswa kingono, asema wanajidhalilisha kutojua wapi pa kupeleka malalamiko yao

    Si wameliwa basi waache wakaliwe na huko. Chakula chakula tu Sent using Jamii Forums mobile app
  5. bigKilaza

    Je, shule zikifunguliwa tarehe 01/06/2020 utaruhusu mwanao aende?

    Dada upo vizuri nimekuelewa, inaonekana una simamia vizuri maendeleo ya watoto wako, wengi wetu humu ni wavivu na ndio maana tunawasukumia watoto waende shule ili kukwepa hayo majukumu. Hivi kwa ukweli mmeona msongamano wa wanafunzi wakiwa shuleni haswa hizi kanumba schools. Sent using Jamii...
  6. bigKilaza

    Je, shule zikifunguliwa tarehe 01/06/2020 utaruhusu mwanao aende?

    Mtoto ni wa serikali sio wako[emoji23][emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  7. bigKilaza

    DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    Hata mimi nahisi itakuwa robot page
  8. bigKilaza

    DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    Wasoma meter na wakata maji wa DAWASA hivi wana kiwango gani cha elimu. Maana ni wabishi na wasiotaka kuelewa. Mfano wamekata maji na kutoa notification ambapo bill ya notification ilishalipwa. Sasa waje kurudisha maji, wamekuja wamerudisha maji sasa pale walipofunga kwa kukunja panavuja...
  9. bigKilaza

    DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    Hivi humu kuna msaada Kweli? Maana naona watu wanauliza ila sioni majibu.
Back
Top Bottom