Kwahiyo ndo wajenge frames, vituo vya mafuta, kuzoa taka na kumbi za harusi?
Hata kuwa na viwanda vya gloves, madawati na hata assembly ya pikipiki wameshindwa?
Nchi ya hovyo kabisa hii.
Sheria ya kikoloni inatungwa na setikali ya watu weusi kwa ajili ya kuwashughulikia raia katne hii ya 21.
Pathetic.
Serikali za vyama vya ukombozi zimejaa manyang'au tu.
Ukifanikiwa kumalizana nae itapendeza zaidi, otherwise usikubali kukamatwa na plain clothes individuals identifying themselves as police in unmarked vehicles.
Uzoefu umeonuesha nothing good comes out of those guys.
Kuna mtu ninamheshimu sanabtu, mstaafu na heshima zake. Anasema tunaonewa wivu na nchi nyingi. Hii ni vita haswa ya kiuchumi.
Nikamuangalia nikasononeka sana....kwamba tunaonewa wivu na nani? Burundi. Au Zambia?
Voda ni tabu, tigo nao tabu.
TRA wapo busy na mambo ya kishenzi tu. Kwa hii mambo ya bundles, unapokosa service masaa kadhaa maana yake umeibiwa rasmi. Nani analipia hii?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.