Recent content by Bigirita

  1. Bigirita

    GE2025 Hili la mgombea kujitangaza kuwa Yeye ni Amiri Jeshi Mkuu, limekaaje?

    Exactly....vyama shikizi vinavyogombea vimeridhika. Wapo kwenye maigizo yao ya kaole
  2. Bigirita

    Miradi ya JKT na JWT/Shirika la mizinga, ni miradi ya kusikitisha sana, ni kipimo cha level ya uwezo wetu sisi Watanzania

    Kwahiyo ndo wajenge frames, vituo vya mafuta, kuzoa taka na kumbi za harusi? Hata kuwa na viwanda vya gloves, madawati na hata assembly ya pikipiki wameshindwa? Nchi ya hovyo kabisa hii.
  3. Bigirita

    Chumba, Sebule kubwa ya kisasa na Parking ya gari inapangishwa Mabibo Makuburi karibu na Samaria Hotel

    Ni vizuri watu wakaelewa hii. Katika kutoa maelezo ya biashara mtu anatakiwa kuwa makini ili maelezo yajitosheleze bila kuonyesha ujanjaujanja
  4. Bigirita

    Hivi Freeman Mbowe anajisikiaje kuwa Mwenyekiti wa kudumu wa chama chake?

    Wafuate hao watu makini walioondoka. Mfuate Msigwa.....ndo mtu makini kwako. Otherwise go F yourself.
  5. Bigirita

    LGE2024 THRDC: Upinzani mnakosa mikakati imara ya watu kujitokeza kugombea

    Huyu bwana na watekaji wa wananchi wana tofauti yoyote?
  6. Bigirita

    Jaribio la kumteka Deogratius Tarimo (Deo Bonge) huko Kiluvya, na Maswali tata

    Sheria ya kikoloni inatungwa na setikali ya watu weusi kwa ajili ya kuwashughulikia raia katne hii ya 21. Pathetic. Serikali za vyama vya ukombozi zimejaa manyang'au tu.
  7. Bigirita

    Nini huwa madhumuni ya polisi wasio na sare(plain clothes police) kukamata watu?

    Ukifanikiwa kumalizana nae itapendeza zaidi, otherwise usikubali kukamatwa na plain clothes individuals identifying themselves as police in unmarked vehicles. Uzoefu umeonuesha nothing good comes out of those guys.
  8. Bigirita

    TRC: Kulitokea hujuma katika Treni ya Mchongoko, baadhi ya waliohusika wamekamatwa

    Kuna mtu ninamheshimu sanabtu, mstaafu na heshima zake. Anasema tunaonewa wivu na nchi nyingi. Hii ni vita haswa ya kiuchumi. Nikamuangalia nikasononeka sana....kwamba tunaonewa wivu na nani? Burundi. Au Zambia?
  9. Bigirita

    Marekani yabamizwa mapigo mawili matakatifu, onyo tu hilo

    Huyo Allahu ndo nani?......hahahahah
  10. Bigirita

    Marekani yabamizwa mapigo mawili matakatifu, onyo tu hilo

    Sio mapepo...majini hayo.....
  11. Bigirita

    Mtandao wa vodacom una shida au

    Voda ni tabu, tigo nao tabu. TRA wapo busy na mambo ya kishenzi tu. Kwa hii mambo ya bundles, unapokosa service masaa kadhaa maana yake umeibiwa rasmi. Nani analipia hii?
Back
Top Bottom