Recent content by bigimoney

  1. B

    MWISHO WA KUTUMIA MOZILLA KWA WATUMIAJI WA WINDOW XP NA VISTA MWISHO JUNE 2018.

    Kwa kipindi kirefu Kampuni/browser ya Mozilla wamekuwa wakishirikiana na Window xp na window vista katika matumizi ya kupakua vitu mbalimbali katika Mtandao, lakini ilipofika tarehe 4/10/2017, wakaamua kuitangazia Dunia kuwa June 2018, utakuwa mwisho wa kushirikiana miongoni mwa kampuni hizo...
  2. B

    Msaada PC yangu haiwaki

    Hilo lita kuwa tatizo la hardware, mpaka fundi aiangalie kwa umakini wa Hali ya juu. Kama upo Dar mtafute huyu 0714003752
  3. B

    Matatizo yanayoikuta computer, pamoja na suluhisho lake.

    Hapo kwanza jaribu kucharge kwa adapter nyingine, ukiona tatizo linaendelea hapo jua Battery imeharibika, badilisha Battery
  4. B

    Matatizo yanayoikuta computer, pamoja na suluhisho lake.

    6. KUHARIBIKA KWA UBAO MAMA (MOTHER BOARD) Ubao Mama(Motherboard), hii ni Saketi ambayo ina muunganiko wa “chip” Zaidi ya moja. Inaitwa Saketi kwa sababu inatumia umeme wa moja kwa moja (Direct Current). Kwanini uitwe Ubao mama(Motherboard)? Kwa sababu ina uwezo mkubwa wa kuweza...
  5. B

    Mambo ya kuzingatia unapotaka kununua kompyuta

    Tupo Dar, Mwenge Stand ya Zamani.
  6. B

    Mambo ya kuzingatia unapotaka kununua kompyuta

    Ni kipindi hasa cha Wanafunzi wengi kuelekea Vyuoni na wengi wao watapenda kununua Kompyuta kwa ajili ya Masomo/Kozi mbalimbali huko waendako Kwa kutambua nafasi hii ya Kielimu juu ya Matumizi ya Kompyuta nasi tumeona ni vyema kutoa Elimu hii, ili angalau kuwa na uelewa zaidi maana tunatambua...
  7. B

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Nitarudi kukoment chochote
Back
Top Bottom