Recent content by big f

  1. B

    Oral Interview, Dodoma University.

    Mdau nasikia pia kwenye website yao wametoa lakini website yao haifunguki tangu juzi twaomba kwa aliyefanikiwa basi atuletee tangazo hilo na huku. Mimi niliomba nafasi ya Warden
  2. B

    Dr. Joyce Ndalichako, Katibu Mtendaji wa NECTA! "It's Time To Go!.

    Mdau hongera kwa kutoa machungu yako hapa. Laikini kama uko makini zaidi na mfumo wa elimu Dr. Ndalichako is less concerned na matokeo mabovu kwani NECTA inafanya kazi ya kutunga na kusahihisha mitihani kwa mujibu wa Muhtasari husika. Nijuacho mimi anayetakiwa kujiuzulu ni Kawambwa, Mulugo na...
  3. B

    Mhe. Tundu Lissu, Please Acha Kumsulubu Spika Wetu! Unammaliza Kabisa Hadi Ameshindwa Kazi!

    Uvivu wa kufikiri wa viongozi wakuu wa bunge ndiyo chanzo cha yote haya. Dua ya kuliombea bunge ina kipengele .. . haki itendeke... haki hiyo ni kwa CCM tu? Tafakari kama wameshindwa kuongoza bunge wajiuzulu kwani lazima?
  4. B

    Mhe. Tundu Lissu, Please Acha Kumsulubu Spika Wetu! Unammaliza Kabisa Hadi Ameshindwa Kazi!

    Kinachomuumiza ni uzembe wake wa kutaka kuficha uozo wa serikali na atakufa kwa pressure, me siko yeye alidhani Sita alikuwa anafaidi. Mburura hawa mwaka huu lazima wakione unakumbuka CDM walishasema huu mwaka ndo wenyewe wa kuionesha serikali njia.
  5. B

    Spika Makinda aburuza Bunge; aahirisha Bunge hadi kesho...

    Uwezo wa kufikiri wa Spika, Naibu spika na Mabumba umefika mwisho wanachokifanya sasa ni kuahirisha vikao vya bunge ili tarehe 8/2/2013 ifike waahirishe kikao hadi April kweli Makinda na Ndugai wameishiwa sera. Totaonana 2015 bado miaka 2 wacha waendele na uzembe wao wawaandae vijana kuingia...
  6. B

    Bungeni: Kkao cha kamati ya uongozi kimemalizika haya ni maazimio...

    Hicho kikao kilikaa katika wodi mojawapo pale Mirembe nini? Nina wasiwasi na hilo azimio la kwanza dawa ni kuzileta na kuzisambaza hizo hoja huku uraiani sasa.
  7. B

    Nilikosea sana kumkosoa kaka yangu alowahita CHADEMA genge la wahuni

    Nilikosea sana kumkosoa kaka yangu alowahita chadema genge la wahunikajifunze kwanza kusoma darasa la kwanza "hapo kwenye red" kwa uozo huo tu AKILI YAKO NDOGO HAIWEZI KUTAWALA AKILI KUBWA YA WANAJF
  8. B

    Bungeni kimenuka, Naibu Spika azomewa! Bunge lavunjika kabla ya muda...

    Mburulaaaaaaaaaaaaa! umetumwa na Ndugai nini? Hili bunge umelifuatilia tangu lini na umeona lini haki imetendeka kwa wapinzani? Hebu jiulize yale aliyosema Kigwangala asubuhi angeyasema mbunge wa upinzani angefanywa nini? Huyo Ndugai ni bingwa wa kuwatoa nje wabunge wa upinzani mbona Kigwangala...
  9. B

    Bungeni kimenuka, Naibu Spika azomewa! Bunge lavunjika kabla ya muda...

    Kweli ukomo wa akili ndogo kutawala akili kubwa umeonekana leo. Wakati wabunge wa upinzani wamesimama wanaimba CCM, CCM, CCM ... niliwasikia baadhi ya wabunge wa CCM wakisema kwa sauti watoke haoooo.... Kumbe kila siku wanazitupilia mbali hoja za Upinzani kwa kujua kuwa watatoka nje, leo imekuwa...
  10. B

    Bungeni kimenuka, Naibu Spika azomewa! Bunge lavunjika kabla ya muda...

    Ndugai ameahirisha bunge na kuita kamati ya uongozi nimeipenda hii ya leo na kesho wakileta kulindana KI CCM UPINZANI WAWAADABISHE KWA KUSIMAMA MWANZO MWISHO MPAKA WAJIREKEBISHE, kIBABU CHA kONGWA HOOOOI
  11. B

    Bungeni kimenuka, Naibu Spika azomewa! Bunge lavunjika kabla ya muda...

    Njia waliyoitumia kambi ya upinzani leo ni bora kuliko ile ya kutoka nje, maaanake wakitoka Mafisadi huendelea kutawala. Ndugai hayawezi aache ukweli uanikwe mbona vitu viko wazoi huu uzembe mpaka lini? Aibu kubwa kwa naibu spika hafuati kanuni wala nini eti "Hakuna kuhusu utaratibu wala...
  12. B

    Jina la Said Nassor Bagaile ndiye Hamis Andrea Kigwangalla?

    Kweli huyu ni mzee wa madesa mimi nilishangaa hata hoja yake binafsi aliileta lakini hakuwa na vyanzo vya mapato sasa unaanzishaje benki halafu huna vyanzo vya mapato kumbe kadesa. Jina si lake, ubunge si wake na kumbambikia Bashe kwamba si raia. Je, ina maana baada ya Kigwangala kuwa mbunge...
  13. B

    Full Text: Hoja Binafsi ya Mnyika iliyozua kizaazaa bungeni (na Ripoti ya CAG)

    Huyu Dr. Vitumbua (Kigwangala) si ndiye aliyemtisha mwenzie wa CCM kwa bastola huyu katiak vile viuchaguzi vyao vya Chama Cha Mafisadi? Na huyuhuyu Ndugai na Mabumba ndiyo mabingwa wa kuwatoa wabunge nje wanapokaidi amri za kiti? Ajabu leo licha ya Mwanasheria wa Serikali kukerwa na Kigwangala...
  14. B

    Bunge lageuzwa ukumbi wa ngonjera.

    Huyu Dr. Vitumbua (Kigwangala) si ndiye aliyemtisha mwenzie wa CCM kwa bastola huyu katiak vile viuchaguzi vyao vya Chama Cha Mafisadi? Na huyuhuyu Ndugai na Mabumba ndiyo mabingwa wa kuwatoa wabunge nje wanapokaidi amri za kiti? Ajabu leo licha ya Mwanasheria wa Serikali kukerwa na Kigwangala...
  15. B

    Jumuiya ya Afrika Mashariki kuvunjika, uroho wa madaraka wa Museveni na Kagame vyaiponza

    Mdau hii hoja imeshiba sana kwa yeyote anayetafakari kwa kina ila yoyte haya yanatokana na; UZEMBE, UBINAFSI, RUSHWA, KUJUANA NA UZEMBE WA KUFIKIRI WA VIONGOZI WAANDAMIZI. Kukomaa kwa rushwa nchini kulikofugwa na kuendelezwa na viongozi wetu waandamizi. Pia uwezo mdogo wa kufikiri wa...
Back
Top Bottom