Ah wap, so kwa maoni yako unaona ingekua bure? Kwan kuna mtu alilazimishwa kuapply kwa njia ya sms? Kwan mtandao wenyewe hauna gharama?acheni kuwajaza upepo watz ilhali ni mifuko ya plastick!
hivi hawa ------- wa jkt na serikali ya ccm ina matatizo gani? hapa watafikia hatua ya kutaka kutugeuza nyuma. lisipotolewa ufumbuzi hili swala jkt siendi kwani sina mda wa kulinda geti za watu na ndo maana niliamua kusoma. wakinizingua na ajira ntaenda private.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.