Ila tafakari ya kutosha inahitajika kuhusu sheria zetu.
Kama mashtaka hayo makubwa, yenye kuumiza sana watu yakabaki kuamuliwa hatma yake kwa maoni ya mtu tu ni hatari zaidi.
Nashukuru serikali imefuata hukumu ya umma. Umma ulishahukumu "Mbowe siyo gaidi".
Habari wana JF!
Bila connection hapa duniani huwezi kutoboa. Naombeni mwenye connection na biashara ya ku import wine and sprit toka South Africa au India tujuzane hapa Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wana Jf!
Bila connection hapa duniani huwez kutoboa...naombeni mwenye connection na biashara ya ku import wine and sprit toka South Africa au India tujuzane hapa Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.