Recent content by BIBLIA INASEMAKWELI

  1. BIBLIA INASEMAKWELI

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimefanya mapenzi na mwanaume mwenzangu

    1timotheo 1; 7-10 inasemawapena kua warimu washelia ingawa hawafaham wasemayo kwa uthabiti lakini twajua yakuwa sheria ni njema kama mtu akiitumia kwanjia iliyo halali ms;9 akilifahamu neno hili yakuwa sheria haimhusu mtu wahaki, bali waasi, na wasio wataratibu, na makafiri, na wenye dhambi, na...
  2. BIBLIA INASEMAKWELI

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimefanya mapenzi na mwanaume mwenzangu

    polesana nakushauli uokoke na kutubu dhambi kiukweli biblia inakataza kwamsisitizo kua wote wanao tenda mambo kamahayo wata hukumiwa adhabu soma warumi 1;18 inasema kwamaana ghadhabu yamungu imedhihirishwa kutoka mbinguni juu ya uasi wote na uovu wawanadamu waipingao kweli kwauovu/ ms;21...
  3. BIBLIA INASEMAKWELI

    JamiiForums Tanzania Vodacom Wajanja Night sio unlimited tena

    aiseeee voda wana tukomesha ngoja niamshe popo airtel naona voda ndoa mbovu afadhali mitala
  4. BIBLIA INASEMAKWELI

    JamiiForums Tanzania Simu yangu Alphone S7562 Haifungui Webpage za Facebook

    Msaada, nina simu alphone Model No. S7562 haifungui web page ya facebook. Nifanyeje?
Back
Top Bottom