Recent content by Bibi mima

  1. B

    Baada ya kuangalia mawazo ya watu mbalimbali humu JamiiForums, nimeona nianze hivi

    Mkuu Eberhad naomba uni PM namba yako maana naona nitajifunza vyema kwa shamba darasa..mm Niko Moro,namalizia kujikusanya nianze kupambana.hizi ajira za kunyanyasana zimetuchosha..!
  2. B

    Baada ya kuangalia mawazo ya watu mbalimbali humu JamiiForums, nimeona nianze hivi

    Mi nadhani huu Uzi ungeendelea coz umetusaidia wengi Jamani kubadilisha fikra zetu..hongera sana Mkuu Eberhard..!
  3. B

    Mbinu za kuangua vifaranga kwa njia ya Kienyeji

    Mkuu malila!hongera sana..kuna swali la lishe watu wamelisahau,kuku anayelalia n vyema akajengewa eneo maalum na kupewa chakula cha kutosha ili kufanya asipoteze muda Mwingi kutafuta chakula huku akiacha mayai yakipoa...
  4. B

    Mradi wa Ufugaji wa ng'ombe

    Nice talk..
  5. B

    Kwa ambao walikuwa hawajaona Mashine ya Kutengeneza Chakula Cha Kuku ilivyo,

    Mkuu Don Mango unanunua broiler au kienyeji na kwa uzito huo unaoffer nei gan?
  6. B

    Nahitaji ushauri wa tiba ya kuku

    Hongera Mkuu tired,huo n mwanzo nzuri...
  7. B

    Study tour 2015

    Mkuu malila hongera sana..Mara zote nisomapo comment zako na thread zako huwa unanipa moyo sana...mungu akubarik...
  8. B

    Kilimo cha Mitiki: Utaalamu na biashara yenyewe

    Mkuu kisima..hapo Moro uko maeneo gani?na kama hutojali naweza pata eneo la bei rahisi kwa kilimo na ufugaji...
  9. B

    Safari yangu 2

    Well said...!
Back
Top Bottom