Mkuu Eberhad naomba uni PM namba yako maana naona nitajifunza vyema kwa shamba darasa..mm Niko Moro,namalizia kujikusanya nianze kupambana.hizi ajira za kunyanyasana zimetuchosha..!
Mkuu malila!hongera sana..kuna swali la lishe watu wamelisahau,kuku anayelalia n vyema akajengewa eneo maalum na kupewa chakula cha kutosha ili kufanya asipoteze muda Mwingi kutafuta chakula huku akiacha mayai yakipoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.