CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,762
- 8,834
mkuu hapo kwenye red, kuku wa hivyo unaweza kum-handle namna gani? halafu,
ratio inayotakiwa hasa kati ya jogoo na tetea ni ipi mkuu? yani kuku jike wangapi wanatakiwa wamilikiwe na jogoo mmoja ili kuokoa vita kati ya majogoo?
asante..
mkuu nisha elezea kama kuku unawafuga nje yaani wana piga misele nje Ratio nzuri ni mitetea watano kwa jogoo mmoja hii ni kwa sababu nje jogoo hutumia nguvu nyingi sana pale anapo kimbiza mtetea, kama ni ndani hata mitetea 10 kwa jogoo mmoja ni sawa, Ila kuna aina nyingine za kuku ambao ni havy mfano Dorep jogoo mmoja anatakiwa mitetea 4 hadi 5 hata kama ni ndani wanafugiwa