Mkumbamasaka,
Hodi rafiki mpya,
Nimefurahi kuo-
nana wewe.
Utatafuta forum,
Kugawanya maoni,
yako wote.
Kwa jumla nasoma tu,
Sababu najifunza
bado lugha.
Basi karibu sana,
Tutaonana tena,
Siku njema.
Bibi Amy
Hamjambo Watu Wazuri,
Nilisoma juu ya "ubuntu." Bado ni tumilia mazungumzo ya kila siku au ni oni ya historia tu?
Nafahamu ubuntu kama "mimi ni mtu kwa wengine watu tu, mimi si mtu bila wengine."
Mmarekani W.E.B. Dubois aliandika katika kitabu, "The Souls of Black Folk", labda, maoni...
Hamjambo Watu Wenu,
Nilisoma makala inayosoma Rais Obama atawaona mia moja kumi na tano viongozi watoka arobaini na sita nchi za Afrika kusini za Sahara. Watazungumza juu ya uwezo wa kuona mbali katika nchi zao wakati ujao.
Swali yangu ni hii: nani ni viongozi vijana vingine kwamba watu wa...
Hujambo Nguli,
Kweli, Kiswahili ni kama wimbo. Nilikwenda Tanzania mwaka iliyopata na watu huko walikuwa na saburi sana nami na walikuwa mioyo mikubwa kwa wageni--nilikaribishwa sana.
Na mahali pote pana picha ya Daktari Nyerere na Rais...upendo sana kwa nchi na kwa viongozi venu, hii...
Hujambo Genekai,
Asante kwa nitie moyo. Nina posts machache tu na kila ni ya kirafiki. Kama umesemavyo, nitijaribu forums nyingine. Labda Siasa.
Usiku mwema Genekai!
Amy
Hujambo Babuyao,
Asante kwa kuniandikia! Hii ni mara ya kwanza nitumizia Forum ye yote. Nataka kuzoea kiswahili na vitabu havinisemea kamwe. :) Pia, sijui nikiseme kwa hakika.
Bwana, kama useme, haba na haba hujaza kibaba!
Jisikie nyumbani.
Amy
Hamjambo watu wazuri,
Jina langu ni Bibi Amy na nataka kujufunza na kuzoea juu ya Kiswahili. Nimekuwa nilisome tangu miaka mitatu juu au chini na, tafadhali, semahani kwa makosa mwengu. Asante!
Bibi Amy
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.