Recent content by BIASHARA 2023

  1. BIASHARA 2023

    Mnawezaje kukaa na mwanamke mmoja kwa muda mrefu?

    1. Aiseee ww ni noma, unatumia kinga au kupima HIVI kabla ya kuonana na wapenzi wako? SINA UHAKIKA na hilo kama unazingatia kwa tabia unayofanya.. 2. Muombe mungu wako akusaidie uenda ni tabia yako ,lkn dunia itajibu unachofanya ,kwan duniani ni funzo tosha. Mauti ipo tu...
  2. BIASHARA 2023

    Sikutegemea kuona haya

    1. Wakati mwingine tunajitakia kwa nn ww mwanamke unaenda kwa shoga yako alafu shoga yako amevaa nguo ya kutamanisha kiasi hicho ,hata ningekuwa mm ningetamani kwani maumbile ya mwanamke kwa mwanaume lazima upate hisia kali na kutamani ndivyo wanaume wameumbwa ,sijui kwa upande wako ulikuwa...
  3. BIASHARA 2023

    Kwanini amtongoze rafiki yangu

    1. Muombe Mungu akusaidie nalo litapita 2. Mchunguze shoga yako nikweli aliyokuambia kweli mme wako amefanya au shoga yako anataka kuaribu ndoa yako...mashoga wakati mwingine anatengeneza habari tu..duniani rafiki wa kweli ni Mungu wako. 3. Km unampenda mme wako jaribu kusolve mbn issue ndogo...
  4. BIASHARA 2023

    Kujiona huna thamani kipindi huna mkwanja

    Mungu ni mwaminifu sana ktk maisha ya duniani lazima kuish kwa umakini sn na watu kwa sababu unapopata shida ndy unajua tabia za watu walivyo lkn km hauna matatizo yyte ni ngumu kujua tabia walizonanzo. Usivunjike moyo mme wako ndy mungu kakupangia usivunjike moyo atapata kazi nyingine na...
  5. BIASHARA 2023

    Nimetafuta mwanamke wa kuoa nimekosa, imebidi niishi single maisha yangu yote yaliyobaki hapa duniani

    1. Cha msingi yeye aendelee kutafuta pesa utapata unayemtaka ,umri cyo issue mpaka miaka 35 unaoa. 2 tabia yako ikae sawa sidhani km kuna mwanamke atavumilia tabia mbovu ya mwanaume. 3. Muumbe Mungu hakuna kinachoshindikana kwake. Usikate tamaa.
Back
Top Bottom