Recent content by BIA TAMU

  1. B

    Half rey unajua wewe ni mwepesi kuliko kapi

    Kiroboto anatapatapa sana, Kweli jamaa alitumika vby san na sasa yanamkuta.
  2. B

    Natafuta soft copy za NECTA form two review

    Mwenye nazo naomba anisaidie, Waweza kuja inbox tuweke sawa zaidi. Asanten.
  3. B

    Wanafunzi wa Sekondari Mpaka Chuo Kikuu: Pata Vitabu vya Masomo Mbalimbali Hapa

    Shimba Ya Buyenze Hongera sana Man. U r a God herted man.
  4. B

    Utajuaje kama huna nafsi au umeuza nafsi

    Kwa muda mrefu sana nimepitia sana hali uliyoieleza, Pmj na kusoma lkn niliishi kwa hofu kubw sana, Wasiwasi, hasira, kutojiamin, mambo kuharibik sna, Ulevi, uzinzi nk. Ni maisha ambayo yalinitesa sn huku nikiwa kama mtu aliyetekw mateka lkn anajitahid sn kujinusuru, Mungu si athumAn, Lkn baad...
  5. B

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    H
  6. B

    Hivi nina matatizo ya akili au vipi?

    Haupo sawa, Fanya kuanza na tiba ya chumvi ya mawe, Zaid ntakuelekeza sehem ya kupat tiba asili. Khiyo hali naifaham vzr, Kifupi unajihis unakuw na mvutano mkali w kimaamuzi, Kujuta sana hasa baada ya kusema au kutenda, Mawazo mengi nyakat za uck, Matumiz mabay ya pesa, Hasir nying, Mikosi nk...
  7. B

    Watanzania hatuendelei kutokana na vitu hivi

    Nakazia, Uzinzi, ULevi, Khs uvivu najituma, an ila hayo 1&2 nimeyastukia juzi tu hapa, Kw sasa hela nimeanza kuiona, ASANTE MUNGU WANGU.
  8. B

    Hongereni watu wa mkoa wa Kilimanjaro kwa kuwa mkoa wenye mtumba Bora

    Jana mwanangu anayesona moshi tech kafika nyumban, Akawa kapiga nguo za mtumba, Yaan pamba kali hatari, bei yake sasa hadi unacheka ilivyo ya chini. Kuuliza naambiw kachukua soko la memorial hilo, Hongeren sana. Zaid wanaitoa wap hawa jamaa, Nairobi au?
  9. B

    Muoaji na mshenga wakiwa ukweni

    Kazi iendelee
  10. B

    Wasiokujua kwa utamu wako ni wachache sana

    mi napenda Inkurwa, Ekererema nk
  11. B

    Uhusiano wa kuwashwa mkono na kupata fedha

    Hilo linamtokea zaid mrs wangu, Na huwa anazipiga haswa sio mchezo. Yaan mkono humuwasha mara kw mara , Huubusu ba kunambia bebi niandikie hapa mkononi kiasi cha hela, Na mm humwandikia, Hiyo naiaminia sana kwake..
  12. B

    Halotel yashinda tuzo ya mtandao wa simu wenye gharama nafuu zaidi

    Line ya voda naelekea kusahau password
  13. B

    Barua ya wazi Kwa wanawake: Usiolewe na mwanaume mpumbavu na mwoga!

    Basi bana, Ila kuna watu huwa wanarogwa tangu siku wamezaliw, Huendlea kukua wakionekan kuw watu wa hovyo kw kufany au kuhusishw na vitendo vibaya kama, Ugomvi, hasira, mikosi ya kutofanikiw ktk biashara, masomo nk. Lkn kw badae huja kustuka au kw uwezo wa Mungu nguvu za shetan huzidiw nguvu na...
Back
Top Bottom