Recent content by bhututu

  1. B

    Kwa mtaji wa milioni 12, nifungue hardware, nafaka au phone and accessories?

    Huu ushauri naupa nafasi ya kwanza mkuu. Lkn nafasi ya pili ni biashara ya mazao,hii huwezi kufanya nyakati zote,wewe nunua wakati wa mavuno afu weka,uza baadae. Chagua mazao mfn. Karanga n.k.
  2. B

    Mienendo ya siasa za CHADEMA inasikitisha na kuchekesha Jamii

    Kivip yaani?! Ushirikina ni kushabikia demokrasia ikikanyagwa. Mnafaika pekee wa wizi na udhaifu wa uweledi kiuongozi ndio ana huo ujasiri wa kushabikia. Kwani kuua na kutesa watu haitoshi,sasa mnataka kufunga chama,makanisa Na sijui nini kingine kitafuata,lkn bado sio dawa. Kifupi wala keki...
  3. B

    Baada ya kustaafu nifanye biashara gani?

    Tumia mil 40, Kwa mchakato wote weka mashine yoyote kutokana na mazingira yako. Mashine ya mpunga,alizeti, mahindi n.k. afu simamia kwa umakini.
  4. B

    Maria Sarungi hii ni propaganda ya kitoto, Tanzania haijaanzisha jeshi la siri la kuua raia

    Tena hicho kikundi kinapewa support kbs na polisi na usalama. Hakuna siri tena. Serikali kuua raia for fun ni kosa kubwa sana. Yaani mtu kachoma picha mnaua.
  5. B

    Mienendo ya siasa za CHADEMA inasikitisha na kuchekesha Jamii

    Chadema itasurvive kwa kuwa mwanchi yoyote mnyonge nchi hii lazima aisupport chadema. Wahuni wachache wanaiogopa.
  6. B

    Jumanne Muliro: Askofu Gwajima akitaka, akate rufaa (rufaa inakatwa kwa Waziri Bashungwa)

    Maendeleo yapi na upotoshaji upi?! Sio lazima utetee kila jambo. Tanzania tunasapoti ustawi wa kikundi fulani cha watu serikalini na sio ustawi wa watanzania. Very wrong.
  7. B

    Jumanne Muliro: Askofu Gwajima akitaka, akate rufaa (rufaa inakatwa kwa Waziri Bashungwa)

    si ni bora mzinzi mkemea mauaji,kuliko mtakatifu shabiki wa mauaji?!
  8. B

    Uislamu hauruhusu mambo haya dhidi ya Mtawala: Kumkosoa hadharani, kumdhalilisha, kufanya maandamano na kutoka dhidi yake

    Nadhani watanzania tujue kuwa hii si nchi ya kidini, na haiendeshwi kwa misingi ya dini. Tumeamua wenyewe iwe nchi ya kidemokrasia lkn hatutaki misingi ya demokrasia. Kifupi watz tumekuwa vilaza maeneo hayo. Tunaendeshwa na utashi wa kiongozi aliyepo.
  9. B

    PreGE2025 Kuna maisha baada ya uchaguzi, linda amani, kataa chokochoko zao

    Tanzania viongozi wanahubiri amani ila wameshika vifaa vya kutesea na kuulia. Muda wote wanawaza hila. Hawajali haki wala utulivu. Tz hakuna haki wala utulivu, wananchi mioyoni wanachuki,maumivu na hofu vinachemka.
  10. B

    PreGE2025 Kuna maisha baada ya uchaguzi, linda amani, kataa chokochoko zao

    Ndio!! Nasubiri zamu yangu niuwawe. Maana picha ya raisi ni muhimu sana kuliko uhai wangu.
  11. B

    Samaki hana ujanja ukimtoa ndani ya maji, hongera serikali kwa kumtupa samaki Gwajima nchi kavu,tuone sasa ngebe zake zitafanyikia wapi?

    Wasio na Mungu wanafurahi damu ikimwagika. Tumeingiwa na utawala unaopenda kumwaga damu. Kwa bahati mbaya tuna mashabiki wa umwagaji damu. Lakini walio na Mungu lazima wapaze sauti zao kukemea umwagaji damu ni laana. Tunajua mkuu hujali km ulaaniwe au usilaaniwe wewe ni shabiki na mdini.
  12. B

    Nahisi kukata tamaa. Nifanye nini kujinasua?

    Mimi sijaona tatz mkuu. Wewe ongeza juhudi na punguza matarajio makubwa kuliko unachofanya. Nenda kidogokidogo ukisevu kidogo unachokipata kwa ajili ya malengo makubwa uliyojiwekea.
  13. B

    Kwa wenye uzoefu naomba ushauri kuhusu biashara ya uwakala wa miamala ya simu

    Jiandae kwa yote mkuu. Ila km unajiamini usikate tamaa ndio kujifunza,kisichokuua kinakukomaza kiaskari.
Back
Top Bottom