kifo cha ccm kinakalibia vijana ambao wanastaili kuwapokea wazee wao kukiongoza chama chao akili zao, tabia zao, busara zao, upeo wao, maamuzi yao ni vurugu na
Heshima yao kwa baba zao ni kuwa piga na chupa waasisi wa chama chao, wenye kuiongoza tasisi ya muasisi wa chama chao ccm...
hii ni aibu kwa serikali ya ccm badala ya kuja na majibu ya kwanini wameibua rasimu feki ya serikali mbili wanaleta maigizo ya kushirikisha unyama wao waliouandaa kuua ndugu zetu
wanadhihaki ndugu wa marehemu chcha wangwe Mungu mlaze pema peponi, wandhihaki ukimya wa familia ya Mwangosi...
itamhusuje wakati malengo yake nikuua upinzani na si kuimalisha, hivi mtu mwenye nia njema anaweza aakawa anaombea ubaya auwafike watu anao wapenda
ningemwelewa kama angekuwa anatoa ushauri nini ukawa wakifanye ili wazidikuikaba ccm
Avalishwe kwanza aliye igeuka na kuiponda tume aliyoiunda mwenyewe na kuipokea na kuisifu na hatimaye kuidhinisha iende kujadiliwa bungeni, badaye kuigeukia na kuanza kuiponda kana kwamba haijawahi kupitia kwake.
Bora cdm ina toa maelezo kwa kina nenda rumumba kahoji mapato ya viwanja vya mpira, vya wazi maegesho ya magari usiku,ruzuku na misaada ya wafadhiri kama utarudi na jibu zuri. Hongera kamanda makene endelea kuwapa darasa cdm hamna giza ni nuru, nyeupe ni nyeupe...
SIJAWAHI SIKIA VICHAA WAKIFUKUZANA HAO WOTE WEZI, NAONA UNGESEMA DR. SLAA AKIWA RAIS ORODHA ULIYO IYORODHESHA HAINA BUDI KUKIMBIA. AKIWA LOWASA WATAAMBULIA KUPEWA MADARAKA NA BALALI ATAFUFULIWA NA MITUME FEKI...aka kikombe cha babu,,
ningefurahi iwapo wewe usiye na wivu wa kike kama unge tufungua tujue huo utajiri wake, kwa ulivyo mtetezi sina shaka unajua kaupataje utkwasi huo. Maana toka kijana amekuwa mtumishi wa serikali sasa sijui kuhoji mtumishi kumiliki maa bilioni ni wivu mbaya?
kweli buku saba zina nguvu ukipata nafasi ya kukutana naye muulize baada ya mwakyembe kusoma ripoti ya kamati ya richimond alilalamika kwamba kuna watu wanataka kumuua, pia alilipoti hadi polisi jinsi anavyo windwa. Hatimaye yalimkuta ya kumkuta je huyo kipenzi cha watu analisemaje mkono wake...
unategemea hao rafiki zake atawalipa nini na kipi kinawapelekea kudhamini kiasi kikubwa cha fedha kumpigania urais? mpaka sas si chini ya bilion 9 alizotoa je yeye kabaki nazo ngapi na ikulu kuna biashara gani itayo rejesha fedha hizo?
kama kweli ni wafanya biashara kiasi hicho wangewekeza...
kama alichokifanya ni kizuri hata ukikirudia mara 100 hakiishi radha ila sema huna ulijualo jema lolote alilo lifanya zaidi ya madudu yake ya richmond ndo maana unashindwa kulieleza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.