Recent content by Bhozo

  1. B

    JamiiForums Tanzania Kiwanja Kinauzwa

    Kiwanja chenye ukubwa wa hatua za miguu au mita 35 kwa 28 kinauzwa sh. mil. 6 Chanika Mwisho karibu na barabara ya lami na karibu na kituo cha daladala, kuna umeme na gari inaingia hadi ndani bila tatizo, kiko eneo safi la makazi ya watu ni pazuri na tambarare, hakijapimwa ila hatua ya awali ya...
  2. B

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa 8m Chanika Mwisho

    Kiwanja chenye ukubwa wa hatua za miguu/mita 32 kwa 28 kinauzwa sh. Mil. 8 Chanika mwisho karibu na kituo cha mwisho cha daladala, kuna umeme na pamejengwa upande wa nyumba vyumba 3. Tuwasiliane 0769 449485.
  3. B

    JamiiForums Tanzania Jamani waungwana niokoeni

    Nashukuru sana kwa ushauri. Nafanya kazi kwenye taasisi ambayo inategemea zaidi funding toka kwa wahisani nje ambapo kila mwanzoni mwa mwaka process ya utumaji budget huwa ndefu ingawa huwa tunalipwa malimbikizo. Thanks kwa kunitia moyo.
  4. B

    JamiiForums Tanzania Jamani waungwana niokoeni

    Asante sana. Biashara nilizonazo pia ni za mtaji mdogo na huwa ninaziendesha kwa kutegemea support kubwa toka kwenye ajira yangu. Mabadiliko makubwa kazini ndo yameharibu.
  5. B

    JamiiForums Tanzania Jamani waungwana niokoeni

    Kiwanja kipo Chanika mwisho, ni kikubwa robo eka, umeme upo, bei mil. 13 inapungua na unaweza lipa kidogo kidogo kutegemeana na uwezo wako, lengo ni kusupport biashara zangu wakati nikiisubiri May.
  6. B

    JamiiForums Tanzania Jamani waungwana niokoeni

    JF naikubali, ni kisima cha elimu, uzoefu na maarifa ya kila aina, isitoshe kuna waungwana kibao. Mwenzenu nimekwama, naombeni waungwana mnisaidie. Biashara zangu zimesimama kwa kukosa mtaji. Nimejaribu kutafuta mkopo benk zote ninazoenda sikidhi masharti yao. Nimejaribu kuuza kiwanja changu...
  7. B

    JamiiForums Tanzania Nauza kiwanja na nyumba

    Kiwanja chenye ukubwa wa robo eka kilichojengwa nyumba ya vyumba viwili na sebule kinauzwa Chanika, kiko karibu na kituo cha Chanika mwisho yanapoanzia na kuishia mabasi yaendayo mjini, unaweza kufika kwa gari bila tatizo au kwa mguu kutoka kituo cha mabasi kwenye barabara ya lami. Umeme upo...
  8. B

    JamiiForums Tanzania Hodi Jamani!!!!!!!

    Nimekuwa mgeni humu kwa muda mrefu lakini sasa na mimi naingia ndani. Hodi wenyeji naomba mnipokee!
Back
Top Bottom