Recent content by Bhizabhityo BB

  1. Bhizabhityo BB

    JamiiForums Tanzania NMB kwa msaada wa IFC wameuza hatifungani ya kwanza huko London. Wafanyabiashara Wadogo Tanzania Ndio Walengwa

    Hii ni bondi (hati fungani) ya kwanza kabisa ya Shilingi ya Tanzania kutolewa kwenye soko la hisa la kimataifa. Lakini hii si bondi ya kwanza ya IFC (IFC ni miongoni mwa taasisi za kifedha zilizo chini ya benki ya dunia (World Bank) ya sarafu ya ndani. Haya ndiyo unayopaswa kujua kuhusu hili; 1...
  2. Bhizabhityo BB

    JamiiForums Tanzania NMB's first ever sh.263 billion bond listed by IFC on The London Stock Exchange, what you should know

    This is Tanzania's first ever Tanzania Shilling Bond issued in an international stock market. But this isn't definitely IFC's first local shilling bond issuance. Here's what you have to know about this 1. Mechanism: bond proceeds → targeted groups The chain is IFC (AAA legal issuer...
  3. Bhizabhityo BB

    JamiiForums Tanzania Mikopo ya "Kausha Damu": Suluhisho la muda mfupi lenye madhara ya muda mrefu

    Eventually itaathiri credit report yako na hutoweza kukopa pengine
  4. Bhizabhityo BB

    JamiiForums Tanzania Mikopo ya "Kausha Damu": Suluhisho la muda mfupi lenye madhara ya muda mrefu

    Mkopo wa Sh. 100,000 — Hesabu Halisi Pasaka hii nilikuwa napiga story na baba mdogo wangu huku kigamboni kuhusu mikopo “kausha damu”. Alipata mkopo wa Sh. 100,000 kwa muda wa siku 30, na malipo ya Sh. 4,000 kwa siku. Kwa njia hiyo, malipo ya jumla yanafika Sh. 120,000 Ukiangalia kwa haraka...
  5. Bhizabhityo BB

    JamiiForums Tanzania Cash In Hand: Markets, but Why Don’t People Last?

    Many entrepreneurs in East Africa struggle to sustain their businesses over the long term, high rent, debt, TRA and local government levies, among other pressures in Tanzania for example. But unfortunately, many have not realised that they are making strategic decisions using the wrong numbers...
  6. Bhizabhityo BB

    JamiiForums Tanzania Pesa mfukoni ≠ faida: Biashara ni zile zile, kwanini Watu hawadumu?

    Wajasiriamali wengi hapa Tanzania wanashindwa kudumu kwa muda mrefu hapa nchini kwa sababu mbalimbali. Kodi kubwa ya pango, madeni, kodi za TRA na Halmashauri n.k Lakini bahati mbaya wengi wao hawajatambua kwamba wanafanya maamuzi ya kimkakati wakitumia takwimu zisizo sahihi kama dira yao ya...
  7. Bhizabhityo BB

    JamiiForums Tanzania Zanzibar: Dhahabu Halisi ya Utalii Tanzania

    Kila mwaka, Tanzania inajitangaza kama moja ya vivutio vikubwa vya utalii barani Afrika. Watu wengi wanakimbilia Serengeti, Ngorongoro, au kupanda Kilimanjaro. Lakini ukweli ambao takwimu zinaonyesha wazi ni huu: Zanzibar ndiyo dhahabu halisi, na bado haijatumika kikamilifu. Nenda Serengeti...
Back
Top Bottom