Recent content by Bhizabhityo BB

  1. Bhizabhityo BB

    JamiiForums Tanzania Mikopo ya "Kausha Damu": Suluhisho la muda mfupi lenye madhara ya muda mrefu

    Mkopo wa Sh. 100,000 — Hesabu Halisi Pasaka hii nilikuwa napiga story na baba mdogo wangu huku kigamboni kuhusu mikopo “kausha damu”. Alipata mkopo wa Sh. 100,000 kwa muda wa siku 30, na malipo ya Sh. 4,000 kwa siku. Kwa njia hiyo, malipo ya jumla yanafika Sh. 120,000 Ukiangalia kwa haraka...
  2. Bhizabhityo BB

    JamiiForums Tanzania Cash In Hand: Markets, but Why Don’t People Last?

    Many entrepreneurs in East Africa struggle to sustain their businesses over the long term, high rent, debt, TRA and local government levies, among other pressures in Tanzania for example. But unfortunately, many have not realised that they are making strategic decisions using the wrong numbers...
  3. Bhizabhityo BB

    JamiiForums Tanzania Pesa mfukoni ≠ faida: Biashara ni zile zile, kwanini Watu hawadumu?

    Wajasiriamali wengi hapa Tanzania wanashindwa kudumu kwa muda mrefu hapa nchini kwa sababu mbalimbali. Kodi kubwa ya pango, madeni, kodi za TRA na Halmashauri n.k Lakini bahati mbaya wengi wao hawajatambua kwamba wanafanya maamuzi ya kimkakati wakitumia takwimu zisizo sahihi kama dira yao ya...
  4. Bhizabhityo BB

    JamiiForums Tanzania Zanzibar: Dhahabu Halisi ya Utalii Tanzania

    Kila mwaka, Tanzania inajitangaza kama moja ya vivutio vikubwa vya utalii barani Afrika. Watu wengi wanakimbilia Serengeti, Ngorongoro, au kupanda Kilimanjaro. Lakini ukweli ambao takwimu zinaonyesha wazi ni huu: Zanzibar ndiyo dhahabu halisi, na bado haijatumika kikamilifu. Nenda Serengeti...
Back
Top Bottom